Justine Marack
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 567
- 1,551
Hadija Kopa amevikwa Cheo Cha Malikia wa mipasho. Lakini kiuhalisia ameshawahi kushindwa katika vita ya mipasho kubaki muziki wa taarab.
Tukitaka kutenda haki basi Malikia wa Mipasho anapaswa kua bibie.
Afua Suleiman.
Ukitoka kuelewa huyu Afua nenda sikiliza Wimbo wa Taarab unaoitwa Utalijua jiji. Hapo ndani Mwanamama katapika shombo ile mbaya. Nadiliki kusema kuwa hakuna Mipasho zaidi ya huu Wimbo.
Kuonesha kuwa Hadija Kupa alivurugwa na kulemewa ni pale alipoamua kujibu kwa Wimbo wake unaoitwa Jiji nalijua.
Lakini pamoja na hivyo Bado score board unasoma 10-0.
Hongera sana Afua suleiman
Tukitaka kutenda haki basi Malikia wa Mipasho anapaswa kua bibie.
Afua Suleiman.
Ukitoka kuelewa huyu Afua nenda sikiliza Wimbo wa Taarab unaoitwa Utalijua jiji. Hapo ndani Mwanamama katapika shombo ile mbaya. Nadiliki kusema kuwa hakuna Mipasho zaidi ya huu Wimbo.
Kuonesha kuwa Hadija Kupa alivurugwa na kulemewa ni pale alipoamua kujibu kwa Wimbo wake unaoitwa Jiji nalijua.
Lakini pamoja na hivyo Bado score board unasoma 10-0.
Hongera sana Afua suleiman