Arusha Mambo
Senior Member
- Jan 27, 2011
- 174
- 150
Salaam,
Kikao cha Bunge kinaendelea leo baada ya kumalizika kwa siku tatu za maombolezo kufuatia ajali ya kupinduka na kuzama kwa Meli iliyokuwa inaelekea Zanzibar huku kukiwa ni viporo viwili vya kupitisha bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndani na ile iliyokwama kupitishwa juzi Jumamosi kutokana na kukosekana kwa AKIDI.
Ili kusikiliza kinachoendeleo Bungeni ukiwa ofisini kwako, tembelea www.arushamambo.com kisha click "Sikiliza Arusha Mambo Radio....."
Redio ikifunguka tutafurahi uki LIKE redio yetu katika page ya TUNEIN au kutuma maoni yako kwa info@arushamambo.com
Kikao cha Bunge kinaendelea leo baada ya kumalizika kwa siku tatu za maombolezo kufuatia ajali ya kupinduka na kuzama kwa Meli iliyokuwa inaelekea Zanzibar huku kukiwa ni viporo viwili vya kupitisha bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndani na ile iliyokwama kupitishwa juzi Jumamosi kutokana na kukosekana kwa AKIDI.
Ili kusikiliza kinachoendeleo Bungeni ukiwa ofisini kwako, tembelea www.arushamambo.com kisha click "Sikiliza Arusha Mambo Radio....."
Redio ikifunguka tutafurahi uki LIKE redio yetu katika page ya TUNEIN au kutuma maoni yako kwa info@arushamambo.com