Ngoja nimtag kabisa asikie kilio chetuSure. Hilo la nyimbo kukata kata alirekebishe..
Ijumaa kesho mizigo mipya ya weekend
It's Friday!
Mkuu nitajirekebisha..japo nafanyaga hivo coz nymbo tamu zipo nyingiMix ya bongo way back season B(1) ni kali ila hujaitendea haki mkuu
Wimbo una play haufikishi hata sekunde 10 unakata mkuu?
Daaaah!! Sio poa mkuu
Mkuu nimekujib hapo .mnisameheNgoja nimtag kabisa asikie kilio chetu
dvj nasmiletz
Yanga imenichanganya mkuuIt's Friday!
Nilikuwa sijui ila now nimekusoma mkuu.Mkuu nitajirekebisha..japo nafanyaga hivo coz nymbo tamu zipo nyingi
Ukisema zipige mpk mwsho..itakuwa nonstop ya masaa mngi...utaziboa mapema..
Mkuu nimekujib hapo .mnisamehe
Mzee baba bado hujaweka.,..amapiano club bangers vol. 2..Aah nishaijua.ngoja nitaiweka vol 2 yake
Bado aiseeCountry ushatupia au