Sikieni, hii inanishangaza

Sikieni, hii inanishangaza

Unique Flower

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
12,841
Reaction score
25,351
Majuzi rafiki yangu alikopa pesa huko sijui mgodi sasa alipoanza kudaiwa ni mesage ya Mgodi ila siku ingine ni namba kama namba.

Sasa kajuaje anadaiwa na huku ni kitu cha siri. Hata ukiwa na hela kwenye account unaanza kupigiwa na simu za ajabu ajabu.

Naonelea wazo tu. Je, kama ni watu wanaofanya kazi Vodacom ndio wanawasaidia hawa watu washinda mamillioni kisa account inasoma.

Hamshangai Airtel hakuna, tigo hakuna, namba nyingi ni za voda za hao matapeli.
Sijui kwanini.

Ili limenishangaza mimi!
 
ebu tulia kwanza ndio uandike kwa hujaelewka bidada
 
mtoa mada unakimbilia wp tulia uandike vizuri..

nyuzi zako nyingi hueleweki...
 
Huko mgodi ndo wapi? Hujaeleweka slowdown
 
Hao mgodi nilikuwa nalipa deni lao hawarespond Wanachangamoto pia nahisi mikataba Yao na voda haiko sawa
 
Mm nliuliza mtu anafanya voda , akasema hao ni voda wamegawa tenda kwa kampuni binafsi inahusika na kukusanya madeni yote. Wanaweza mpk kupiga simu kwa number binafsi!
Mwambie alipe tu .
 
Mm nliuliza mtu anafanya voda , akasema hao ni voda wamegawa tenda kwa kampuni binafsi inahusika na kukusanya madeni yote. Wanaweza mpk kupiga simu kwa number binafsi!
Mwambie alipe tu .
Okay nitamwambia asante kwa taarifa
 
Hao mgodi nilikuwa nalipa deni lao hawarespond Wanachangamoto pia nahisi mikataba Yao na voda haiko sawa
Halafu hawakupi exactly kiasi unadaiwa shillingi ngapi hadi kero leo imebaki hiki kiasi kesho hiki
 
cha ajabu utakuta mtu anakupigia kwa line ya voda anakuambia yeye ni customer care ukiangalia ww unatumia airtel
 
Daah tatizo umeandika haraka sana embu edit post yako nimesoma mara mbili mbili nimeshindwa kuielewa
Nyie mpo nyuma sana kimaendeleo .
Mgodi ni kama songesha ila ile unakopa kuanzia laki moja hadi ml kama ni mwaminifu marejesho kwa wakati sasa matapeli wengi wa mitandao wanatumia namba za voda tu na wanajuaje kama wewe unahela m-mpesa hado wakutumie umeshinda??
 
Nyie mpo nyuma sana kimaendeleo .
Mgodi ni kama songesha ila ile unakopa kuanzia laki moja hadi ml kama ni mwaminifu marejesho kwa wakati sasa matapeli wengi wa mitandao wanatumia namba za voda tu na wanajuaje kama wewe unahela m-mpesa hado wakutumie umeshinda??
Wana bet tu mchumba sidhani kama wanajua
 
Majuzi rafiki yangu alikopa pesa huko sijui mgodi sasa alipoanza kudaiwa ni mesage ya Mgodi ila siku ingine ni namba kama namba.

Sasa kajuaje anadaiwa na huku ni kitu cha siri. Hata ukiwa na hela kwenye account unaanza kupigiwa na simu za ajabu ajabu.

Naonelea wazo tu. Je, kama ni watu wanaofanya kazi Vodacom ndio wanawasaidia hawa watu washinda mamillioni kisa account inasoma.

Hamshangai Airtel hakuna, tigo hakuna, namba nyingi ni za voda za hao matapeli.
Sijui kwanini.

Ili limenishangaza mimi!
Huu uandishi wa wapi??
 
Wakuu Mimi nimetoka kapa, nielewesheni bas
 
Back
Top Bottom