Siki 30 za kurejesha viwanda na viwanja zinakaribia!!

Siki 30 za kurejesha viwanda na viwanja zinakaribia!!

funaku

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
38,535
Reaction score
31,199
Nawakumbusha tu zile siku 30 walizopewa wawekezaji feki wa viwanda na wamiliki wa viwanja mahekari kwa mahekari bila kuviendeleza zinakaribia.


Hapa ndipo viongozi wa Ukawa watakapoanza kuguswa halafu tusikie mnasema ni siasa!!

Nazjaz tuletee list ya waliojimilikisha maeneo ya wazi,ranch za ufugaji za Taifa,n.k
 
Last edited by a moderator:
Wazee wa kuzungusha mikono msije kujidai mnakuja na matamko...wakati tumeshakubaliana kuwa majipu yanatumbuliwa bila ganzi.
 
nawakumbusha tu zile siku 30 walizopewa wawekezaji feki wa viwanda na wamiliki wa viwanja mahekari kwa mahekari bila kuviendeleza zinakaribia.


Hapa ndipo viongozi wa ukawa watakapoanza kuguswa halafu tusikie mnasema ni siasa!!

nazjaz tuletee list ya waliojimilikisha maeneo ya wazi,ranch za ufugaji za taifa,n.k

sisi kazi tulishamaliza haijalishi viwanda kurudishwa kikubwa ilikuwa kumpiga chini mamvi na hilo tumeshatiza hayo yajayo ni mengineyo
 
Last edited by a moderator:
Hakuna cha UKAWA wala CCM. MAGU anatumbua tuuu!!!
 
Nasubiria kuona kama vile viwanda vyote alivyomilikishwa ABOOD Morogoro maeneo ya kihonda viwandani na matokeo yake kuvigeuza majengo ya kufugia mbunzi na ng'ombe vikichukuriwa.
 
Nilishawahi kuonya juu ya hili naona Sumaye na Ukawa hamkunielewa
 
Back
Top Bottom