Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 11,250
- 24,086
Sikutegemea wanaume kama wewe mkosekane.Mimi nipo nimepewa nimekaa zaidi ya mwaka na mpaka sasa nakaribia kumaliza nyumba yangu
Sikutegemea wanaume kama wewe mkosekane.Mimi nipo nimepewa nimekaa zaidi ya mwaka na mpaka sasa nakaribia kumaliza nyumba yangu
wew ndio umenielewa vizuri kabisa, sikutaka huko mbele msaada ugeuzwe fimboHiki ndicho alichokataa.
Maisha yake yote angehisi mnyonge anapaswa kushukuru kubebwa na mkwewe.
Kwa lugha nyingine kubebwa na mkewe.
Ipo siku angkuja kuambiwa yeye bila baba mkwe wake hasingweza kujenga angekufa masikini nyumba ya kupanga.
Wewe kweli akili yako haina akili wote na huyo baba mkwe......Hivi huku duniani kuna mtu anapewa kitu cha bure? Ili iweje, tafuta vya kwako fala wewe.Kipindi naoa, baba mkwe alitaka kutupa nyumba yake bure kabisa, ni nyumba ya kisasa na kulikuwa na baadhi ya vitu kama samani.
Jambo hilo nilikataa kabisa, nilirudi na wife kajumba kadogo nilikopangisha lakini amani niliyokuwa nikiipata ni kubwa sana.
Bado waliendelea kuniomba nihamie nyumba kubwa lakini niliwatolea nje hadi wakachoka.
Baada ya familia kuwa kubwa tukahamia nyumba kubwa kidogo ambayo tupo hadi sasa huku ujenzi ukiendelea ambao unaelekea kumalizika.
Peace of mind ni kitu muhimu san
Ndugu wakati wa kufurahi na vigelegele ndio huu anapaswa amuite mkwewe(wote)Umejiumiza bure tu ungekaa kwenye hiyo nyumba then hela uliyotumia kujengea kwa mateso na damu ungeizungushia kwenye biashara leo ungekuwa tajiri mkubwa tu na ungeweza kujenga nyumba 2, baba mkwe ungemrudishia nyumba yake kwa furaha na vigelegele tena ungemwambia nyumba yake imezaa nyumba 2 na 1 umepangisha.
Golden chance ni akili yako tuu mazee. Ukiendeza hizoambo za kila golden chance mwisho utaaga pambano la kiume watu watoe Malinda.Rule no.9 of being a hustler: never ever reject a golden chance that will push you to another stage of life! Wewe haukujua hii sheria! Aiseeee!
Kumbe ulishawahi kuishu humo😆😆Jambo hilo nilikataa kabisa, nilirudi na wife kajumba kadogo nilikopangisha lakini amani niliyokuwa nikiipata ni kubwa sana.
Hii kitu imeshamiri sana kwa vijana wa leoAu mkeo umtie mimba halafu akahudumiwe kwao
km la mama ako! Naona kutolewa malinda kumekukaa kichwani sana! Yaani unaleta hadi kwenye mada ambazo hazihusiani na huo ushetani! Au mwanetu ushaliwa jicho tayari?Golden chance ni akili yako tuu mazee. Ukiendeza hizoambo za kila golden chance mwisho utaaga pambano la kiume watu watoe Malinda.
Umekosea, ungempa one condition kama anataka uamie kwenye nyumba yake basi title deed ya eneo itiwe jina lako. Baada ya mchakato wakubadilisha title deed kukamilika ndio uamie.Kipindi naoa, baba mkwe alitaka kutupa nyumba yake bure kabisa, ni nyumba ya kisasa na kulikuwa na baadhi ya vitu kama samani.
Jambo hilo nilikataa kabisa, nilirudi na wife kajumba kadogo nilikopangisha lakini amani niliyokuwa nikiipata ni kubwa sana.
Bado waliendelea kuniomba nihamie nyumba kubwa lakini niliwatolea nje hadi wakachoka.
Baada ya familia kuwa kubwa tukahamia nyumba kubwa kidogo ambayo tupo hadi sasa huku ujenzi ukiendelea ambao unaelekea kumalizika.
Peace of mind ni kitu muhimu san
Inasikitisha sana vijana wamekuwa wajinga mnoHii kitu imeshamiri sana kwa vijana wa leo
Et karud kwa ajili ya watoto,kwan asipokuwepo watoto wanateseka!?Hongera,jirani hapa mara atupiwe nguo nje,mara akapange,ndugu zake wakija wanasimangwa na kufukuzwa,,huyu mwanaume ni nes sijui Dr lkn Hana ajira anajishikiza kwenye vihospital,mwanamke nae Hana ajira now kafunguliwa ofisi ya muamala na baba yake ,mwanamke kwao pesa zipo na wapo watoto wawili TU, huyu mwanaume ni manyanyaso tupu🙌
Alifukuzwa karudi tena,anasema anarudi kwaajili ya watoto. Anafokewa kama mtoto daah,inasikitisha.
Huo ndio mwanzo wa kuanza kuwekeana chuki hapo, wao wataanza kuona hutaki kuishi unataka kuja kuiuza nyumba yao.Ningekuwa mimi ndo wewe hiyo ni golden chance
Ningeomba anikabidhi na hati ya nyumba tu
Nahamia nakaa miezi 3 nauza mjengo wake nanunua mjengo wangu.
Very simple!
Moral of the Story!?Kipindi naoa, baba mkwe alitaka kutupa nyumba yake bure kabisa, ni nyumba ya kisasa na kulikuwa na baadhi ya vitu kama samani.
Jambo hilo nilikataa kabisa, nilirudi na wife kajumba kadogo nilikopangisha lakini amani niliyokuwa nikiipata ni kubwa sana.
Bado waliendelea kuniomba nihamie nyumba kubwa lakini niliwatolea nje hadi wakachoka.
Baada ya familia kuwa kubwa tukahamia nyumba kubwa kidogo ambayo tupo hadi sasa huku ujenzi ukiendelea ambao unaelekea kumalizika.
Peace of mind ni kitu muhimu san
wakwe wa kibongo usiwaamini kamwe, me kuna bro ang alipewa kiwanja tena kwa maandishi .. si akajenga jumba hilooo... badae visa vikawa vingi si kwa mke wala ba mkwe.. jamaa akaona sio kesi akawaachia mke na nyumba na watoto wawili..... ni hatareKipindi naoa, baba mkwe alitaka kutupa nyumba yake bure kabisa, ni nyumba ya kisasa na kulikuwa na baadhi ya vitu kama samani.
Jambo hilo nilikataa kabisa, nilirudi na wife kajumba kadogo nilikopangisha lakini amani niliyokuwa nikiipata ni kubwa sana.
Bado waliendelea kuniomba nihamie nyumba kubwa lakini niliwatolea nje hadi wakachoka.
Baada ya familia kuwa kubwa tukahamia nyumba kubwa kidogo ambayo tupo hadi sasa huku ujenzi ukiendelea ambao unaelekea kumalizika.
Peace of mind ni kitu muhimu san