Sijui wasomi gani hawa

Sijui wasomi gani hawa

halaaaa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
305
Reaction score
74
Jamani jana nilikuwa naangalia MALUMBANO YA HOJA #ITV nilishangaa wasomi wanaitetea CCM kabisa, wakihoji wanaotaka mabadiliko wanataka mabadiliko gani? Halafu anahoji inawezekanaje kusoma bure la kwanza mpaka chuo kikuu? Tena akaongezea akaanza kusema chuo kikuu tunahitaji mkopo halafu kuna laki mbili na nusu sijuwi za nini, karibia milion tatu na kitu kila mwanafunzi wa chuo, na wanafunz ni weng, je pesa hiz zitatoka wapi?

Msomi huyo chuo kikuu Dodoma, nilishangaa kweli hivi nani ambae hajuwi nchi hii ina rasilimali za kutosha, vyanzo tu vya mapato ni mvua, naweza kusema tu kwamba sekta ya utaliii pekee inaweza kusomesha wanafunzi kama ikisimamiwa kikweli kweli, jaman hawa ni wasomi au nao wanalipwa mshahara wanajisahaulisha?
 
Unavyowashangaa hao wasomi ni sawa na hao wasomi wanavyoishangaa chadema ambayo tangu kuasisi kwake imekuwa ikipinga ufisadi kwa nguvu zake zote. Lakini ajabu kwa sasa iko mstari wa mbele kuwatetea iliyowataja kuwa ni mafisadi papa.
 
unavyowashangaa hao wasomi ni sawa na hao wasomi wanavyoishangaa chadema ambayo tangu kuasisi kwake imekuwa ikipinga ufisadi kwa nguvu zake zote. Lakini ajabu kwa sasa iko mstari wa mbele kuwatetea iliyowataja kuwa ni mafisadi papa.
siasa ni ngumu kuliko fizikia
 
"bora ujinga usio na hasara kuleko elim isiyo na faida" inahusika chuo kinashushwa hadhi yake jaman.
 
Mapenzi ya mtu na usomi vinahusiana vipi?
 
Jamani jana nilikuwa naangalia MALUMBANO YA HOJA #ITV nilishangaa wasomi wanaitetea CCM kabisa, wakihoji wanaotaka mabadiliko wanataka mabadiliko gani? Halafu anahoji inawezekanaje kusoma bure la kwanza mpaka chuo kikuu? Tena akaongezea akaanza kusema chuo kikuu tunahitaji mkopo halafu kuna laki mbili na nusu sijuwi za nini, karibia milion tatu na kitu kila mwanafunzi wa chuo, na wanafunz ni weng, je pesa hiz zitatoka wapi?

Msomi huyo chuo kikuu Dodoma, nilishangaa kweli hivi nani ambae hajuwi nchi hii ina rasilimali za kutosha, vyanzo tu vya mapato ni mvua, naweza kusema tu kwamba sekta ya utaliii pekee inaweza kusomesha wanafunzi kama ikisimamiwa kikweli kweli, jaman hawa ni wasomi au nao wanalipwa mshahara wanajisahaulisha?
Hivi na wewe ni msomi? nami nakushangaa na nahoji kwa nini unashangaa hao wasomi wanapohoji chadema italeta mabadiliko gani?
Wewe ni kilaza kabisa sababu umekubali kugeuzwa geuzwa kama chapati na bado unakenua meno!
Msomi lazima uwe na msimamo!
 
Unavyowashangaa hao wasomi ni sawa na hao wasomi wanavyoishangaa chadema ambayo tangu kuasisi kwake imekuwa ikipinga ufisadi kwa nguvu zake zote. Lakini ajabu kwa sasa iko mstari wa mbele kuwatetea iliyowataja kuwa ni mafisadi papa.

Na ww ni wale wale hata kama walioko chadem unao watuhumu ww, tuona mchango wao pia maisha hali haikuwa hiv ilivyo sasa
 
BRN aoo naona wengine wanawatetea apa kweli unahisi elimu aiwezi kutolewa bure na utitili wa rasilimali tulio nao na idadi yetu ilivo ndogo hvi sustainablity is not ideal in this country
 
Unavyowashangaa hao wasomi ni sawa na hao wasomi wanavyoishangaa chadema ambayo tangu kuasisi kwake imekuwa ikipinga ufisadi kwa nguvu zake zote. Lakini ajabu kwa sasa iko mstari wa mbele kuwatetea iliyowataja kuwa ni mafisadi papa.

Ccm ni ile ile CCm ni ile ile Magufuli for Change. TOT.
 
Jamani jana nilikuwa naangalia MALUMBANO YA HOJA #ITV nilishangaa wasomi wanaitetea CCM kabisa, wakihoji wanaotaka mabadiliko wanataka mabadiliko gani? Halafu anahoji inawezekanaje kusoma bure la kwanza mpaka chuo kikuu? Tena akaongezea akaanza kusema chuo kikuu tunahitaji mkopo halafu kuna laki mbili na nusu sijuwi za nini, karibia milion tatu na kitu kila mwanafunzi wa chuo, na wanafunz ni weng, je pesa hiz zitatoka wapi?

Msomi huyo chuo kikuu Dodoma, nilishangaa kweli hivi nani ambae hajuwi nchi hii ina rasilimali za kutosha, vyanzo tu vya mapato ni mvua, naweza kusema tu kwamba sekta ya utaliii pekee inaweza kusomesha wanafunzi kama ikisimamiwa kikweli kweli, jaman hawa ni wasomi au nao wanalipwa mshahara wanajisahaulisha?

Kuwa namaliasili yakutosha sio tija sana ila bado hujatuambia utawezaje kufanya elimu mpaka chuo kikuu bure.
Tupe scheme yako yamapato na utawezeshaje au ndio unaleta ujamaaa karne ya 21
 
BRN aoo naona wengine wanawatetea apa kweli unahisi elimu aiwezi kutolewa bure na utitili wa rasilimali tulio nao na idadi yetu ilivo ndogo hvi sustainablity is not ideal in this country

CHUKUA rasilimali moja pekee uifanyie upembuzi yakinifu kuona namna inavyoweza kuongeza pato la nchi, au isivyoweza. Ni kiasi gani cha pesa kitapatikana na mgawanyo wake katika sekta mbalimbali utakuwaje. Then justify kupata elimu Bure! Mathalani nchi hii ina dhahabu nyiiingi sana, lakini unafahamu kuwa mrahaba ni asilimia nne tu, je namna gani utaongeza pato kutoka kwenye dhahabu?? Bei ya dhahabu inaporomoka katika soko la dunia Hali inayopunguza faida kwa makampuni ya uchimbaji, hyo inapunguza pia kodi ya mapato inayoingia serikalini. Chanzo cha uhakika cha pesa kutokana na uchimbaji wa dhahabu labda ni kodi kutoka mishahara ya wafanyakazi, Hilo nakuachia utafute ukweli wake wewe mwenyewe! Sasa unafanyeje kuongeza kipato kutoka uchimbaji dhahabu??? Nitarudi...
 
free education????? up to university level??? lowasa punguza kamba baba, hata kama ningekua kilaza wa dunia hapa usingenidanganya
 
Back
Top Bottom