kigori wa kilwa
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 483
- 149
Hata hao nao walikua mafisadi tu sema labda mianya ya kufanya ufisadi ndo ilidhibitiwa.
Usisahau kwamba Mwl Nyerere kipindi hicho ndo ilimbidi aunde sheria kali za uhujumu uchumi jiulize kwanini,
Jibu ni kwamba alishajua kuna walafi na walaku bila kuwakazia ingekua balaa.
wale wa zamani ufisadi wao ulikuwa wa ki analogia lakini huu wa sasa ni wa kidigitali na wa hatari sana maana hakuna wa kumfikiria mtu wa kipato kidogo au wa kijijini kama nyerere alivyokua anawaota watu wa vijijini na lini nao wawe watu.
Haitakaa itokee milele
Hata hao nao walikua mafisadi tu sema labda mianya ya kufanya ufisadi ndo ilidhibitiwa.
Usisahau kwamba Mwl Nyerere kipindi hicho ndo ilimbidi aunde sheria kali za uhujumu uchumi jiulize kwanini,
Jibu ni kwamba alishajua kuna walafi na walaku bila kuwakazia ingekua balaa.
Yule wa songea alipigwa mvua nyingi sana mpaka nyumba yake ikapigwa bei bado yupo songea ila amechoka vibaya sana, aliporudi kutoka jela hakukuta wanawake wake walikua wameshaolewa tayari.......JK NYERERE alikua noooma aisee]Namkumbuka mmoja alikamatwa na pembe za ndovu Songea sijui aliishia wapi, Nyerere hakuwa na mchezo nao, lakini leo: [/COLOR]
Mwingine kakamatwa na rushwa hotelini bado analelewa,
Mwingine kala cha juu kwenye rada, anaogopwa,
Mwingine anakula denda na vijukuu, hakuna tamko lolote toka kwa walio juu yake
Mwingine yupo uchi wa mnyama kaatamia mama wa barabarani huko, hakuna tamko
Wengine walitajwa kufumaniwa wakiwa na wake za watu huku na kule, lakini kimya
Ubunge wa miaka hii hauna maadili hata chembe kila kosa linachukuliwa ni poa tu
Yule wa songea alipigwa mvua nyingi sana mpaka nyumba yake ikapigwa bei bado yupo songea ila amechoka vibaya sana, aliporudi kutoka jela hakukuta wanawake wake walikua wameshaolewa tayari.......JK NYERERE alikua noooma aisee[/iQUOTE]
Na shost yake Sokoine waliwaadabisha watendaji bila kuwaonea haya.
Kweli Ndugu yangu ilishapitaa hiyo mpenzi!!!!!!!
Na haitakaa kurudi
Ezi za ukweli na uwazi uwajibikaji hapo ndio ilikuwa nguzo kuu
Hatuoni tena hii kitu tutabaki kusoma tu