Sijui nina mkosi gani...

Sijui nina mkosi gani...

usy

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2019
Posts
209
Reaction score
164
Salam wakuu..! Mimi ni kijana wa Kitanzania,, miaka minne nyuma nilikua naona future yangu itakua nzur lakin kila kitu kilikuja badilika pale nilipo hitimu kitado cha sita...

Mwanzo nilikua na ndoto za kuja kusoma course yoyote ya afya, nilipomaliza kidato cha sitak nilifaulu vizuri (distinction G.P.A 4.0)... hapa ndo kila kitu kiliharibika baada ya kuchagua kujiunga course iliyoanzishwa kisiasa ( Mafuta na gesi), nilijiunga Udsm nikasoma kwa bidii hata baada ya kuona kua nimepotea nj. Nashukur niligraduate na matokeo mazuri sana ila baada ya kurud mtaani nikakuta yote hayo ni ilikua napoteza muda na nguvu tuu ...

Nimebaki huku mtaani na vyeti vyangu tuu makampuni yote ya mafuta wanasoma tuu barua zangu na kuzitupa kama taka nyingine..

Sina thamani yoyote mtaani nakula kile mama anachopika naomba hadi vocha, mtaji wa kufanya biashara sina na kila ninapojaribu kuomba kufanya kazi hata kwa elfu 50 kwa mwezi nakosa..

Wadogo zangu mtakao enda chuo mwaka huu jiepusheni sana na hizo course za kisiasa ambazo ujuzi utakao upata hautakusaidia kwa chochote na mbaya zaid huwez kuutumia kujiajir..

Namchukia aliyeanzisha hizo course lakin mbaya zaidi najichukia mwenyewe kwa kuingia kwenye huu mtego... msiponiona Jf basi niwatakie kila LA kheri katika maisha yenu kwani mawazo yanayonijia kichwani mwangu ni mengi sana..

N.B nipo serious, sitanii hata kidogo..
 
Salam wakuu..! Mimi ni kijana wa Kitanzania,, miaka minne nyuma nilikua naona future yangu itakua nzur lakin kila kitu kilikuja badilika pale nilipo hitimu kitado cha sita...
Mwanza nilikua na ndoto za kuja kusoma course yoyote ya afya, nilipomaliza kidato cha sitak nilifaulu vizuri (distinction G.P.A
Mkosi gan unazungumzia mdogo wangu
 
Salam wakuu..! Mimi ni kijana wa Kitanzania,, miaka minne nyuma nilikua naona future yangu itakua nzur lakin kila kitu kilikuja badilika pale nilipo hitimu kitado cha sita...
Mwanza nilikua na ndoto za kuja kusoma course yoyote ya afya, nilipomaliza kidato cha sitak nilifaulu vizuri (distinction G.P.A
Ume andika nini bwana mkubwa mbona usomeki
 
Nakupinga kwa nguvu zote mkuu.kwa uandishi wako huu hakika huwezi ukawa umefaulu vizuri. Labda kama unatafuta huruma kwa watu.
rudi usome tena mkuu nilikua sijamaliza kuandika ikajipost kwan mikoni inanitetemeka
 
Rudi shule mkuu nenda kasomee ukatibu muhtasi utumishi wa umma hakika utapata kazi
kurudi shule kwangu sio tatizo... tatizo ni nano wa kunilipia ada tena ??
 
samahani rudi usome tena mkuu nilikuwa sijamaliza kuandika
Usy usifanye mambo hayo! Hivi kuna vijana wangapi wapo mtaani wanafanya shughuli tofauti na walichosoma! Ni kweli inatia uchungu lakini uchungu huo usikufikishe kuwa na mawazo hasi kiasi hicho ! Hebu kaa utafakari ni kweli kabisa Elimu yako tangu STD ONE ,HUONI CHOCHOTE AMBACHO UNAWEZA KUITUMIA ...ACHANA NA GESI NA MAFUTA ,HIYO KWA SASA HUJAPATA ...HUNA KINGINE UNACHOWEZA KUFANYA!!??
Ongea na watu mbalimbali ,uone wanafanya nini ,ongea na wamachinga,wauza vocha,waingiza nyimbo kwenye flash....wapo wengi! watakupa elimu kubwa sana ,kuongezea pale ulipoishia kwenye mafuta na Gesi!
Usionee aibu kutafuta mkate wako ,ona aibu kuendelea kumtegemea mama!
 
Salam wakuu..! Mimi ni kijana wa Kitanzania,, miaka minne nyuma nilikua naona future yangu itakua nzur lakin kila kitu kilikuja badilika pale nilipo hitimu kitado cha sita...
Mwanza nilikua na ndoto za kuja kusoma course yoyote ya afya, nilipomaliza kidato cha sitak nilifaulu vizuri (distinction G.P.A 4.0)... hapa ndo kila kitu kiliharibika baada ya kuchagua kujiunga course iliyoanzishwa kisiasa ( Mafuta na gesi), nilijiunga Udsm nikasoma kwa bidii hata baada ya kuona kua nimepotea nj. Nashukur niligraduate na matokeo mazuri sana ila baada ya kurud mtaani nikakuta yote hayo ni ilikua napoteza muda na nguvu tuu ..
Nimebaki huku mtaani na vyeti vyangu tuu makampuni yote ya mafuta wanasoma tuu barua zangu na kuzitupa kama taka nyingine..

Sina thamani yoyote mtaani nakula kile mama anachopika naomba hadi vocha, mtaji wa kufanya biashara sina na kila ninapojaribu kuomba kufanya kazi hata kwa elfu 50 kwa mwezi nakosa..
Wadogo zangu mtakao chuo mwaka huu jiepusheni sana na hizo course za kisiasa ambayo ujuzi utakao upata hautakusaidia kwa chochote na mbaya zaid huwez kuutumia kujiajir..

Namchukia aliyeanzisha hizo course lakin mbaya zaidi najichukia mwenyewe kwa kuingia kwenye huu mtego... msiponiona Jf basi niwatakie kila LA kheri katika maisha yenu kwani mawazo yanayonijia kichwani mwanhu ni mengi sana..

N.B nipo serious, sitanii hata kidogo..
Haina haja ya kukata tamaa MZEE. Hakuna sababu ya kufanya hivyo kabisa, kila litokealo linatokea kwasababu. Course inaitwaje?umemaliza mwaka gani?
 
Haina haja ya kukata tamaa MZEE. Hakuna sababu ya kufanya hivyo kabisa, kila litokealo linatokea kwasababu. Course inaitwaje?umemaliza mwaka gani?
Bsc In Petroleum Chemistry naomba nisitaje mwaka...
 
Salam wakuu..! Mimi ni kijana wa Kitanzania,, miaka minne nyuma nilikua naona future yangu itakua nzur lakin kila kitu kilikuja badilika pale nilipo hitimu kitado cha sita...
Mwanza nilikua na ndoto za kuja kusoma course yoyote ya afya, nilipomaliza kidato cha sitak nilifaulu vizuri (distinction G.P.A 4.0)... hapa ndo kila kitu kiliharibika baada ya kuchagua kujiunga course iliyoanzishwa kisiasa ( Mafuta na gesi), nilijiunga Udsm nikasoma kwa bidii hata baada ya kuona kua nimepotea nj. Nashukur niligraduate na matokeo mazuri sana ila baada ya kurud mtaani nikakuta yote hayo ni ilikua napoteza muda na nguvu tuu ..
Nimebaki huku mtaani na vyeti vyangu tuu makampuni yote ya mafuta wanasoma tuu barua zangu na kuzitupa kama taka nyingine..

Sina thamani yoyote mtaani nakula kile mama anachopika naomba hadi vocha, mtaji wa kufanya biashara sina na kila ninapojaribu kuomba kufanya kazi hata kwa elfu 50 kwa mwezi nakosa..
Wadogo zangu mtakao chuo mwaka huu jiepusheni sana na hizo course za kisiasa ambayo ujuzi utakao upata hautakusaidia kwa chochote na mbaya zaid huwez kuutumia kujiajir..

Namchukia aliyeanzisha hizo course lakin mbaya zaidi najichukia mwenyewe kwa kuingia kwenye huu mtego... msiponiona Jf basi niwatakie kila LA kheri katika maisha yenu kwani mawazo yanayonijia kichwani mwanhu ni mengi sana..

N.B nipo serious, sitanii hata kidogo..
Ufaulu wako shuleni unaonyesha kwamba wewe ni mtu makini na unaeelewa unachokifanya pale akili yako inapoamua kufanya, use that ability to ur advantage, badili mtazamo wako kuhusu maisha an start afresh... ts not too late bwana mdogo. maisha hayako shuleni maisha yanaanza immediately baada ya kuingia mtaani. Usikubali kushidwa maisha kirahisi hivyo, suicide is for pussies.
 
Back
Top Bottom