Hawatakufuatilia Mama. Hebu tuambie mpango mzima ulikuwaje ili na sisi wenzio tufanye hivyo. Hivi ulimtumia nani pale wizarani vile?jaman nimefikiria ndo maana nikaandkika sijakurupuka maisha ni popote lazima niandike coz sijaanza mimi ndo nauliza watakuja kunifatilia baadae au ndo imetoka