happy amos
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 251
- 434
nawashukuru sana wote mliochangia thready yangu mmeonekana mko makini sana
Ndugu wana JF mimi ni msichana nimemaliza form four mwaka 2005 nikafel vibaya sana nimekaaa kwa mda mrefu nyumbani mwaka jana kuna mtu akanishauri ninunue cheti cha form four kutoka wizarani kwa sh laki 5, nikafanya hivyo nikapata cheti chenye three ya 25 ila ambacho hakina credit nikaomba chuo cha CO yaani clinical officer hapa machame moshi sasa mwezi wa kwanza wakachukua vyeti kwa ajil ya kuvikagua kama ni orginal, vimerudishwa juzi na sijafukuzwa sasa sjui hawajagundua au watakuja kunifukuza baadae mpaka sasa sielewi
Hilo jina ulilotumia kama ni jina lako halisi, nakushauri uliondoe hili swali mapema iwezekanavyo.
dada unajimwaga tu.huogopi?
sijatumia langu arafu kaka haya ni maisha jaman yapokua magum tunatafuta maisha kwa njia yoyote ni bora mimi kuliko anaeua kwa ajil ya kutafuta maisha jaman
siogopi sababu hakuna anaenijua wala hili jina si langu
acheni kumtisha mtoto wa watu nani atakayeweza kujua kupitia kompyuta wakati jamiiforum yenyewe inaruka kwa kujificha labda wakisie tu.au hao jamiiforum wangekua serikali wangemdaka bahati mbaya wenyewe nao wanaiogopa serikali kama ukoma.ingekua ivyo sasahivi wangetafutwa wengi wanaoichafua serikali na thread zao zakipuuuzi ,ndiyo maana ulifeli form 4.Unaambiwa kwamba ulichofanya ni hatari kwako bado unajipa matumaini kwamba hakuna anayekufahamu na jina siyo lako. Subiri sasa yatakapokuta ndiyo utajua kwamba wewe happy lyimo siyo wewe. Pia kumbuka kuwa na taarifa kamili ya hao waliokupatia, kwani wewe tayari uko mkononi mwao na watahitaji kujua hiyo chain. Suala hapa siyo jina lako, wewe si umetumia Computer kutuma hii habari, sasa subiri sasa hata uwe Kigoma utapatikana tu. Pole sana mdogo wangu, vitu vingine ni bora uongee na mtu unayemwamini ili upate ushauri na unaweza kufanya hivyo kama vile wewe siyo muhusika (wewe ni Third Party) na si kuja kubwabwaja hapa. Pole sana, kumbuka kuwa na kumbukumbu ya hao waliokuuzia, kwani nao utalazimika kuwataja, kwasababu wewe tayari.
ndiyo maana ulifeli form 4.Unaambiwa kwamba ulichofanya ni hatari kwako bado unajipa matumaini kwamba hakuna anayekufahamu na jina siyo lako. Subiri sasa yatakapokuta ndiyo utajua kwamba wewe happy lyimo siyo wewe. Pia kumbuka kuwa na taarifa kamili ya hao waliokupatia, kwani wewe tayari uko mkononi mwao na watahitaji kujua hiyo chain. Suala hapa siyo jina lako, wewe si umetumia Computer kutuma hii habari, sasa subiri sasa hata uwe Kigoma utapatikana tu. Pole sana mdogo wangu, vitu vingine ni bora uongee na mtu unayemwamini ili upate ushauri na unaweza kufanya hivyo kama vile wewe siyo muhusika (wewe ni Third Party) na si kuja kubwabwaja hapa. Pole sana, kumbuka kuwa na kumbukumbu ya hao waliokuuzia, kwani nao utalazimika kuwataja, kwasababu wewe tayari.
acheni kumtisha mtoto wa watu nani atakayeweza kujua kupitia kompyuta wakati jamiiforum yenyewe inaruka kwa kujificha labda wakisie tu.au hao jamiiforum wangekua serikali wangemdaka bahati mbaya wenyewe nao wanaiogopa serikali kama ukoma.ingekua ivyo sasahivi wangetafutwa wengi wanaoichafua serikali na thread zao zakipuuuzi ,
jaman eeeeeeeeeeh mimi ni mtu mzima najua ninacho kifanya
Kama mpaka leo hujui kwamba ni kosa kufoji cheti, bora ungeolewa uwe mother house. kwa sababu huko uliko hata ukimaliza (naamini pia utanunua cheti) utakuja kutuulia ndugu zetu .sijatumia langu arafu kaka haya ni maisha jaman yapokua magum tunatafuta maisha kwa njia yoyote ni bora mimi kuliko anaeua kwa ajil ya kutafuta maisha jaman