Kwa kuwa mnafanya uasherati na huyo mwanamke wala isikuume akiwagawia na wengine maana nao pia utaitwa ni uasherati...
Halafu kijana siku nyingine ukiamua kutuandikia habari zako huku tafadhali usiandike wakati upo sehemu yenye baridi kali ambapo mikono inakuwa yakutetema kama gari linalokata wese...
Mwandiko hata haueleweki