Sijui nichague wapi

Njoo kwangu hata ukiomba milioni namwaga, wananiita young bilionea huku kitaa. Usitake shida mtoto mzuri kama wewe
 
Muombe sana mungu,ila kabla hujaolewa jitahidi kwa njia ya mazungumzo umjue anaekuoa ni mtu mwenye mtazamo gani
 

Mapenzi haya shauriki dada cha muhimu kuwa makini familia yako bado hinakuhitaji .kuna ngwengwewee
 
Nampa big up huyo jamaa. Baadhi yenu hamfai hata kwa dawa.
Nimewahi kushuhudia mdada akipiga simu kwa wanaume watano. Huku kila mmoja akiitwa 'asali' na kuombwa 40K. Wawili walichomoa straight away, watatu walim- m-pesa straight away. Akaondoka na kibubu cha 100K bila jasho. Wadada wa kitaa waangalie tu..
 
asante
 

matatizo ya kiuchumi katika mahusiano hayawezi kumalizwa na mpenzi wako pekee,kwanini usingemuomba baba yako mzazi?
 
Miaka mine?kweli wewe mvumiliv na unafaa,hustahili kupata mtu wa kukuchezea lakin mtu anayejua thaman yako.Huyo aliyekufokea kwa ajili ya elf5 hajui thamani yako ingawa unaweza kujishusha na kuonekana 'cheap' kwa kuomba elfu 5 anza kuomba kuanzia elfu10 na kuendelea.Achana nae huyo taratibu huku ukiendelea kumsoma huyo mpya.Lakini usijaribu kuwavulia chupi hata mmoja mpaka uhakikishe ni mtu sahihi kwako.Take care!
 
Kweli machangudoa wana mbinu nyingi sana.....inawezekana huyu ni mmoja wao......MIZINGA STYLE......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…