Platnum Venance
Member
- Oct 23, 2012
- 6
- 2
Jamaa fulani alimuita dem bar kiroho safi dem akaitikia wito alipofka akamuuliza "umeniita hapa ila sijui una shida gani" jamaa nae akamjibu "nataka kukutongoza ila nasubiri mpaka ulewe" ......ha ha ha ha ha ha ha ha je umeipenda???....