Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 8,464
- 6,509
Poleni na majukumu wana JF
Mwanamke aliolewa Mwaka juzi ndoa ya Kanisani, hawajawahi kupata mtoto, kutokana na kuishi mikoa tofauti kwa sababu ya mazingira ya kazi Mwanamke alipata Mimba nje ya ndoa na alishajifungua tayari.
Kipindi cha ujauzito baada ya Mume kugundua mimba siyo ya kwake palitokea mgogoro mkubwa sana hadi kufikia kutengana lakini baadaye Mwanaume amekubali yaishe waendelee na maisha kama kawaida.
Wanaume wa JF mpo tayari kwa jambo kama hilo?
Mwanamke aliolewa Mwaka juzi ndoa ya Kanisani, hawajawahi kupata mtoto, kutokana na kuishi mikoa tofauti kwa sababu ya mazingira ya kazi Mwanamke alipata Mimba nje ya ndoa na alishajifungua tayari.
Kipindi cha ujauzito baada ya Mume kugundua mimba siyo ya kwake palitokea mgogoro mkubwa sana hadi kufikia kutengana lakini baadaye Mwanaume amekubali yaishe waendelee na maisha kama kawaida.
Wanaume wa JF mpo tayari kwa jambo kama hilo?