Sijui mpoje?

Hii hata mdada akienda na mkaka/mbaba mtahudumiwa kama vibakašŸ™ŒšŸ¾
 
Hii ilinikuta sana watu unawapa treatment yenye utu kumbe wao wanakuona mwepesi wa kutoa kipapa, wabongo tumezoea mabavu na ununda,
 
Hii ilinikuta sana watu unawapa treatment yenye utu kumbe wao wanakuona mwepesi wa kutoa kipapa, wabongo tumezoea mabavu na ununda,
Na bado ukiwa kax wanakwambia utaolewa na nani sijui nini? Yani wabongo muda wote akili ipo kwenye sexuality tu! Hawawezi kuchangamana bila kuwaza ngono na ujingaujinga tu juu ya mwanamke!
 
Jamani,Kukupenda ni jambo la kipumbavu?
 
Na bado ukiwa kax wanakwambia utaolewa na nani sijui nini? Yani wabongo muda wote akili ipo kwenye sexuality tu! Hawawezi kuchangamana bila kuwaza ngono na ujingaujinga tu juu ya mwanamke!
Wanaume wamejaza ungese mwingi kichwani, na sio boda tu wapo maboss wapuuzi vilevile, kuna meneja wa benki moja hapo posta, nilikuwa na shida zangu za kiharakati, sasa ktk kuzungumza nae akajipa matumaini kuwa niko mrahisi, alivyo mbwa akaenda kumpa hint Mr, kuwa niko polite sana nisiwe naenda huko bla bla kuwa nitaliwa, yani mavi mavi tu, mbuzi yule aliniharibia kazi zangu kwa mawazo yake ya kisengeee
 
Kuna wasenge sio wa kuchekea mimi huwa nawatakaga hao! Usipo wachekeachekea wanakutafutia namna, same applies to my boss,
 
Hawajui kuwa wapo wanawake wenye misimamo walio tayari kupoteza kila kitu kwa kulinda heshima ya uanamke wake, ukiwajibu vibaya wakufanyie figisu wajibu vizuri unaonekana mrahisi kuliwa,,,,, nya nya nya nyaaa
 
Hawajui kuwa wapo wanawake wenye misimamo walio tayari kupoteza kila kitu kwa kulinda heshima ya uanamke wake, ukiwajibu vibaya wakufanyie figisu wajibu vizuri unaonekana mrahisi kuliwa,,,,, nya nya nya nyaaa
Wanakera kweli hawa washamba kihisia!
 
Hii hata mdada akienda na mkaka/mbaba mtahudumiwa kama vibakašŸ™ŒšŸ¾
šŸ˜‚ ahh mie siku hiz nikitok date huw naenda sehem za wastaarabu aisee candle lights na mziki fulan ambao hata speaker huzioni zilipo.. huko hakuna makasiriko.. hizi habari za kuagiz vinywaji unakaa lisaa, unakula umemaliza maji ya kunawa utasubiri mpk mikono igande kama ulikuw unakula ugali ndio utakoma.
 
Namimi nimeona bora nihamie sehemu zenye ustaarabu tu maana hizi local sitachelewesha mtu aisee! Madem ni wana makasiriko kama wamekopwa loh! Mara kibao tu huwa tunaamsha zetu tukikuta umaku unaendeleašŸ˜…
 
Namimi nimeona bora nihamie sehemu zenye ustaarabu tu maana hizi local sitachelewesha mtu aisee! Madem ni wana makasiriko kama wamekopwa loh! Mara kibao tu huwa tunaamsha zetu tukikuta umaku unaendeleašŸ˜…
Hata Dada wa Kazi akiwa na feelings na Mr ujue kbs umepata mpinzani ndani humo..

Soo ishu ya makasiriko na Mazoea yanayoleta makasiriko haviepukiki..
 
Ukifungua hotel au bar leta wahudum pisi kali tu wakutosha.

Kila pisi itavutia wanaume 20 waje kunywa ila lengo sio kunywa wanatafuta gia ya kuipata pisi
 
Ulikata tamaa mapema sana,
Baada ya hilo tukio ungeendelea kua unatupa ndoano zako kistaarabu zaidi,
Bila shaka muda huu ungekua umeshajipatia huyo Samaki.
Vijana hawaelewi formula hizo. Watu wazima wanapenda mtu asiye na haraka. Rough play sio vitu vyao. Ukiwa mtulivu unatunukiwa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…