babake nasreen
JF-Expert Member
- Oct 30, 2014
- 702
- 490
Mkuu mimi silii lii nimefanya uchunguzi wa kina sana na pia nina ndugu wengi sana nchi tofauti tofauti duniani, na km wewe huoni mabadiliko basi ww cyo mtafutaji ni mtafutiwaji.Mada ipi hapo nzito zaidi ya kulialia
Hiyo short cut ndiyo ipi boss, mm miaka yote nipo nafanya kazi kihalali tena ni mtu nayemtumainia sana Mungu huwa sipendi haramu.Fanyeni kazi maisha rahisi kihalali, kwa short cut ni magumu
Mimi ni muajiliwa pia nimejiajili ili kukuza kipato nina biashara ambazo zinajiendesha lkn kwa sasa biashara mauzo yameshuka kwa wastani wa 70% lkn tra wamepandisha makadirio yao ya ukusaji wa kodi kwa 80%, kwahiyo mambo hayajakaa sawa, lkn kazini pia mshahara umestuck toka 2015 haujapanda na gharama za maisha zimepanda maradufu mfano tuu unga umeongezeka kwa asilimia kubwa sana na gharama zingine za maisha.Kwani ni lini labda utueleze ulikua na maisha ya raha na ulikua unajishughulisha na nini ili kupata riziki. Sasa hivi pia unajishughulisha na nini?
Pia unaishughulisha akili yako kwa kiasi gani pamoja na nguvu zako ili kutumia rasilimali zinazokuzunguka uweze kujikwamua na hali ngumu?
Maana ya dili katika muktadha huu ..ni shughuli ya ujanja isiyo halali, ya kitapeli au wizi inayoleta kipato kisicho halali.
Naamini ukimwona unaweza ukakuta yupo tuu kijiweni anasikilizia deiwaka, huku msosi ukiwa tayari anakuja kuitwaDaaah umenena maisha yamekuwa mwiba sana,Yamekuwa magumu sana lakini kuna mjinga fulani anakupinga na kujifanya yeye hayajui haya pumbavu sana!!!
Mkuu utumbo upo wapi hapo? Nieleweshe.
Hakika mkuuc
Wewe bado unakula kwa shemeji huwezi kuelewa chochote. Mshukuru sana Dada ako kwa kuvumilia gubu la shemeji yako, siku akikuchoka akikukimbiza ndo utaelewa.
Vipi ww una mafanikio yoyote kipindi hiki mkuu?Basi utafanikiwa, usikate tamaa, nami nakuombea kwa mola akujaalie.
Cha msingi ongeza bidii
Ktk wote unaowataja mimi cjabahatika kukutana hapa na mmoja hapa mjini mkuu, zaid naona watu wanajilazimisha kutabasamu ili maisha yaendeKwenye 3 apo, kuna msemo unasema hatufanani kama ww kwk hali ni ngumu sio kwa wote
Mkuu mm nimeshafunga biashara yng moja na nimeelekeza nguvu ktk biashara hii ambayo ipo karibu na mm maana mtu anakwambia ameuza elfu 7 huwez amin, wakati before mauzo yalikuwa laki 9 minimum laki 3Mimi ni mfanyabiashara wa siku nyingi tu,nina mwaka na nusu hivi mambo yamebadilika sana wateja hakuna!! Miaka ya nyuma nilikuwa nauza sana kwa siku milioni moja na nusu,milioni 2, hadi tatu siku pakichanganya sana nina duka la vifaa vya ujenzi lakini siku hizi nakomea laki,laki na nusu,elfu 60, 20, hali imekuwa ngumu sana na bahati mbaya sio kwangu tu hata kwa majirani zangu ndugu zangu walio mbali au wenye biashara tofauti na yangu ni vilio tu hali imekuwa sio hali na kama ikiendelea hivi matokeo ni kuna kufunga biashara hapo mbeleni