zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,835
Mpaka leo Dar huwa naisikilizia tu kwenye TV na magazeti
Mara wengine wanakwambia Dar maisha magumu kweli huwezi toboa kirahisi.
Maji ni ya kununua na hakuna usawa mara matajiri wanaishi Masaki na masikini Bunju mara Tandale...
Wengine wanasema Dar ni raha tupu natamani nije kufika nijionee ninayoambiwa.
#Iam Zagarino
Mara wengine wanakwambia Dar maisha magumu kweli huwezi toboa kirahisi.
Maji ni ya kununua na hakuna usawa mara matajiri wanaishi Masaki na masikini Bunju mara Tandale...
Wengine wanasema Dar ni raha tupu natamani nije kufika nijionee ninayoambiwa.
#Iam Zagarino