Fabian leonard
Member
- Feb 7, 2013
- 43
- 3
Sijui twa elekea wapi nimeshuhudia kwa macho yangu viongozi wa vyama tofauti wakilushiana maneno machafu badala ya kupatana ili kuunganisha wafuasi wao kuheshimiana na kusaidiana jamani kheee! Kabda.
Umekosea jukwaa
mkuu unakua upo jukwaa gani?