Sijui kwanini namchukia mke wangu

Sijui kwanini namchukia mke wangu

knows

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,453
Reaction score
2,237
Habari wana JF, natumaini wote wazima, niende kwenye mada moja kwa moja.

Kiukweli nipo na mke wangu nampenda sana mke wangu na tunaishi vizuri tu. Mwezi huu umeanza nashukuru Mungu mke wangu ni mjamzito, na nilimpeleka hospital akapima kweli ni mjamzito wote tukafurahi kwa hilo maisha yanaendelea.

Lakini sielewi nimepatwa na nini, yaani kila siku zinavyozidi kwenda najikuta nimepatwa na hali ya kumchukia mke wangu. Sielew hii hali inatokana na nini, wakati yeye mke wangu ndiyo upendo umezidi hatari, ananipenda sana. Nashangaa sana wakati yeye ndiyo mjamzito, yaani hata nikiwa kazini siku hizi amekuwa muda wowote anapiga simu, yaani nikiona tu simu yake hali yangu inabadilika.

Siku hizi hata kurudi nyumbani najikuta nachelewa kidogo ili nikute kashapumzika, basi nikifika nilale tu tutaonana asubuhi. Na kashaanza kugundua hali yangu hii lakini anabaki akijiuliza kwanini? kiukweli mke nampenda lakini hii hali imekuja tu ghafla baada ya ujauzito wa mke daah.

Wakuu embu niambieni hii imekaaje kitaalamu zaidi na inauhusiano wowote na mimba ya mke wangu? Karibuni wataalamu labda mnaweza nishauri nifanye kitu au labda ni hali tu ya muda itaisha au ni vipi?

Mungu awabariki.
 
hiyo n hali ya kawaida tu mkuu ila hata kama unajiic umeanza kumchkua na now ana mimba bc jitahd sana kumficja acjue km unamchkia unawez ukazua mengn mapya ambay hauktalajia akil za wanawake wanzjua wnyw

Nikweli mkuu nikiwa nae najitahd sana nisimuoneshe kuwa nina hali hiyo lakini nawaza kwanini mkuu
 
Nikweli mkuu nikiwa nae najitahd sana nisimuoneshe kuwa nina hali hiyo lakini nawaza kwanini mkuu
Usiwaz sana hiyo situation n ya kawaida na inamkut kila m2 jitahd sana kupendlea kufny sna vile v2 vnavyokupa furaha pia km mtazamj sana wa movie epuka san kutazm zilw movie ambaz actors wapo serious au wanapend kukacrika kacrika kama tamthlia ya revenge
 
Habari wana JF, natumaini wote wazima, niende kwenye mada moja kwa moja.

Kiukweli nipo na mke wangu nampenda sana mke wangu na tunaishi vizuri tu. Mwezi huu umeanza nashukuru Mungu mke wangu ni mjamzito, na nilimpeleka hospital akapima kweli ni mjamzito wote tukafurahi kwa hilo maisha yanaendelea.

Lakini sielewi nimepatwa na nini, yaani kila siku zinavyozidi kwenda najikuta nimepatwa na hali ya kumchukia mke wangu. Sielew hii hali inatokana na nini, wakati yeye mke wangu ndiyo upendo umezidi hatari, ananipenda sana. Nashangaa sana wakati yeye ndiyo mjamzito, yaani hata nikiwa kazini siku hizi amekuwa muda wowote anapiga simu, yaani nikiona tu simu yake hali yangu inabadilika.

Siku hizi hata kurudi nyumbani najikuta nachelewa kidogo ili nikute kashapumzika, basi nikifika nilale tu tutaonana asubuhi. Na kashaanza kugundua hali yangu hii lakini anabaki akijiuliza kwanini? kiukweli mke nampenda lakini hii hali imekuja tu ghafla baada ya ujauzito wa mke daah.

Wakuu embu niambieni hii imekaaje kitaalamu zaidi na inauhusiano wowote na mimba ya mke wangu? Karibuni wataalamu labda mnaweza nishauri nifanye kitu au labda ni hali tu ya muda itaisha au ni vipi?

Mungu awabariki.
Ni hela hauna ,,sio kwamba unamchukia hata
 
Habari wana JF, natumaini wote wazima, niende kwenye mada moja kwa moja.

Kiukweli nipo na mke wangu nampenda sana mke wangu na tunaishi vizuri tu. Mwezi huu umeanza nashukuru Mungu mke wangu ni mjamzito, na nilimpeleka hospital akapima kweli ni mjamzito wote tukafurahi kwa hilo maisha yanaendelea.

Lakini sielewi nimepatwa na nini, yaani kila siku zinavyozidi kwenda najikuta nimepatwa na hali ya kumchukia mke wangu. Sielew hii hali inatokana na nini, wakati yeye mke wangu ndiyo upendo umezidi hatari, ananipenda sana. Nashangaa sana wakati yeye ndiyo mjamzito, yaani hata nikiwa kazini siku hizi amekuwa muda wowote anapiga simu, yaani nikiona tu simu yake hali yangu inabadilika.

Siku hizi hata kurudi nyumbani najikuta nachelewa kidogo ili nikute kashapumzika, basi nikifika nilale tu tutaonana asubuhi. Na kashaanza kugundua hali yangu hii lakini anabaki akijiuliza kwanini? kiukweli mke nampenda lakini hii hali imekuja tu ghafla baada ya ujauzito wa mke daah.

Wakuu embu niambieni hii imekaaje kitaalamu zaidi na inauhusiano wowote na mimba ya mke wangu? Karibuni wataalamu labda mnaweza nishauri nifanye kitu au labda ni hali tu ya muda itaisha au ni vipi?

Mungu awabariki.
Je ww ni dini gani?
 
usiwaz sana hiyo situation n ya kawaida na inamkut kila m2 jitahd sana kupendlea kufny sna vile v2 vnavyokupa furaha pia km mtazamj sana wa movie epuka san kutazm zilw movie ambaz actors wapo serious au wanapend kukacrika kacrika kama tamthlia ya revenge

Sawa mkuu nitafanya hivyo ili niweze kuishinda hii hali maana sitaki nije nimuumize wife kwa stress
 
Back
Top Bottom