Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,202
- 162,763
Leo nitarudia maneno haya niliyowahi kuyasema lakini kwa lugha ya Kiingereza kwasababu kuna speech imenifanya nione umuhimu wa kuyarudia na sijui kama nilikosea, na katika hili, ninawaachia wenzangu mtoe judgement au maoni yenu kama nilikosea au laa.
"Moja ya tatizo kubwa miongoni mwa matatizo mengi ya nchi ya Bongo, ni watu smart na intelligent kuwa na majukwaa tu ya kutolea maoni na mawazo yao pasipokuwa na mamlaka ya kuyatekeleza, wakati huo huo, watu less smart na less intelligent, wanakuwa na majukwaa ya kutoa maoni na mawazo yao pamoja na kuwa na mamlaka na madaraka ya kutekeleza mawazo yao hata pale ambapo mawazo na maoni hayo ya si tu kwamba yanakuwa si sahihi,bali pia mawazo hayo yanakuwa si ya kutarajiwa (unexpected/unfortunate )".
"Moja ya tatizo kubwa miongoni mwa matatizo mengi ya nchi ya Bongo, ni watu smart na intelligent kuwa na majukwaa tu ya kutolea maoni na mawazo yao pasipokuwa na mamlaka ya kuyatekeleza, wakati huo huo, watu less smart na less intelligent, wanakuwa na majukwaa ya kutoa maoni na mawazo yao pamoja na kuwa na mamlaka na madaraka ya kutekeleza mawazo yao hata pale ambapo mawazo na maoni hayo ya si tu kwamba yanakuwa si sahihi,bali pia mawazo hayo yanakuwa si ya kutarajiwa (unexpected/unfortunate )".