molely molly
JF-Expert Member
- Nov 28, 2011
- 317
- 30
mume alirudi nyumbani ghafla akakuta mkewwe amelala na kijana mmoja kitandani kwake ,akamuuliza mambo gani haya mke wng
mke akajib;huyu kijana nimemkuta sokoni anaomba chakula nikamleta nyumbani nikampa kile ulichokua umebakiza asubuhi hakua na viatu nikaona nimpatie vile ambavyo ulikua huvaagi tena nguo zilikua zimechanika nikampa ile suti ambayo inakubana wakati anaondoka akaniuliza hakuna kitu ingine ambayo mmeo ako hatumii ndo nimekuja nae chumbani nikampa TIGO we mme wangu si hautumii si eti dear!
mke akajib;huyu kijana nimemkuta sokoni anaomba chakula nikamleta nyumbani nikampa kile ulichokua umebakiza asubuhi hakua na viatu nikaona nimpatie vile ambavyo ulikua huvaagi tena nguo zilikua zimechanika nikampa ile suti ambayo inakubana wakati anaondoka akaniuliza hakuna kitu ingine ambayo mmeo ako hatumii ndo nimekuja nae chumbani nikampa TIGO we mme wangu si hautumii si eti dear!