Sijui kama hii tabia ni nzuri au mbaya.

Surya

JF-Expert Member
Jun 7, 2015
8,375
12,566
Katika kutizima sana filamu za hawa watu wa West naona, huwa wana tabia fulani ya kuwa wepesi kuanza mahusiano ya kimapenz baada ya kuonana kwa siku chache tu, au unakuta msichana na mvulana wamejuana day one tu, endapo wakipendana hiyo hiyo siku na romance zinaanza.

Ambapo nitofauti na huku kwetu, wasichana wa huku hichi kitu huwa hawakubali, ni wachache wanaofanya hivyo.

Swali ni.... hivo wanavyofanya watu wa West ni vibaya au ni sawa?

Naomba maoni yenu, kwa wew upande wako ukiingia katika mahusiano mapya, unaanza na kutamani kufanya kipi??
 
Kwa west hio ni kawaida sana..kama mtu anakupenda anakwambia na response hua ni hapo hapo yaani nimekupenda pia au no Nina mtu mwingine na watu hua waelewa...sasa huku mtu akisema no anamaanusha yes ili akufanye chuma ulete kwanza yaan umasikini pia ni tatizo
 
Aisee, ni kweli usemalo.

Ngoja tuone majibu ya Ladies
Kwa west hio ni kawaida sana..kama mtu anakupenda anakwambia na response hua ni hapo hapo yaani nimekupenda pia au no Nina mtu mwingine na watu hua waelewa...sasa huku mtu akisema no anamaanusha yes ili akufanye chuma ulete kwanza yaan umasikini pia ni tatizo
 
Kwa west hio ni kawaida sana..kama mtu anakupenda anakwambia na response hua ni hapo hapo yaani nimekupenda pia au no Nina mtu mwingine na watu hua waelewa...sasa huku mtu akisema no anamaanusha yes ili akufanye chuma ulete kwanza yaan umasikini pia ni tatizo
Kama unaona vile mkulu, akuchune mpaka agundue kuwa hufilisiki. Ndiyo akupe papuchi
 
Ila kama ni ulaya wao WaPo mbele sana kuanzia kwenye ustaarabu hadi kwenye maendeleo kumbuka mataifa mengi ya ulaya yanaanza kuishi kama mataifa miaka mingi sana nyuma na mawazo na mitazamo imekuwa huru sana ila uku sisi mitazamo yetu na fikra bado zimebase kwenye mila na desturi za zamani ni asilimia chache sana wanaweza fanya ivyo na iyo ni Ile waliokaa mjini japo nayo ni wachache
 
Kama maisha ya kawaida sawa lakini movies au TV show mmhh, producer amekata na kurekebisha mara nyingi tu. Mpaka akapatia hizi movies ndio huwaharibu hawa michepuko yetu wanataka niwe kama Sharukh khan au Leonardo DiCaprio. Wakati Leonardo DiCaprio hata mwanamke hana in real life kisa wamemuona kwenye Titanic.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Kumbe yule mwamba wa kwenye titanic anaitwa Leonardo.
Kama maisha ya kawaida sawa lakini movies au TV show mmhh, producer amekata na kurekebisha mara nyingi tu. Mpaka akapatia hizi movies ndio huwaharibu hawa michepuko yetu wanataka niwe kama Sharukh khan au Leonardo DiCaprio. Wakati Leonardo DiCaprio hata mwanamke hana in real life kisa wamemuona kwenye Titanic.


Ndukiiiii
 
Yale ni maisha ya movie sio real kwenye maisha yao ya kawaida na hata kama ni kweli wako open sana kulinganisha hawa dada zetu wanataka wakufilisi alafu mwisho wa siku manyoya
 
Hawa jamaa wako very open kwa kila kitu.
Akishakupenda anakwambia live. Na anatamani umpe jibu hapo hapo.

Kibongo bongo ni ngumu sana kuwa open.
Nakumbuka wakati naanza mahusiano naye, aliniuliza kama nina girl friend nikasema sina wakati nilikuwa nao kama 3 hivi.

Mkishakuwa kwenye mahusiano kila kitu anataka kiwe openly. Hadi kazini anataka romance dah! Ukigoma anakwambia unaogopa nini au una mwingine.

Alinishangaa demu kunitongoza, alafu me nampiga kalenda. Dah! Alikuwa akinikumbusha najiona fala sana.

Ila wana true love hasa walio wengi
 
Embu acheni ujinga, kwa hiyo sinema kwako ndiyo kielelezo cha maisha ya watu halisi?ina maana wanawake wetu wanakoroga sumu kwanza na kuonja kabla hawajawawekea waume zao? au majambazi yetu yanavua viatu kabla ya kuingia kwenye nyumba za watu? mnatuchosha tu na kushindwa kwenu kufikiri vizuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom