naiman64
JF-Expert Member
- Nov 22, 2013
- 6,854
- 5,276
Japo sijui sababu nini ila wachezaji wetu wanatia aibu sana haiwezekani mchezaji wa timu ya Simba ukashindwa kuonesha heshima kwa kocha aliyewahi kuchezea club kubwa duniani kama Barcelona, huu ulikuwa ndo muda wa wao kuanza kufahamika kimataifa, maana huyu kocha anamtandao mkubwa na anafuatiliwa na watu wengi duniani. Jambo la kuachwa wachezaji wa Simba limeniuma sana kama mtanzania na pia kama shabiki wa Simba, ila nifunzo kwa wengine.Yataishia kucheza humuhumu haya ma mbwa koko.
Ni bora waende tu hao wenye nidhamu pengine wanaweza kutusaidia tukafuzu kombe la Africa maana hawa wengine wenye majina wameshidwa kufanya hivyo miaka nenda rudi pengine ni kwa sababu ya utovu wa nidhamu.Pamoja na kwamba itakuwa pengo ila Discipline ni kitu muhimu kwa Professional yoyote.
Ni either uripoti mda uliotakiwa, au uombe ruhusa na ukubaliwe au ukataliwe. Discipline.
Bila Discipline hakuna mafanikio au maendeleo katika Profession yoyote.
Discipline, nakazia, Discipline.
Sent using Jamii Forums mobile app
Subiri tukibugizwa migoli ma Uganda ndio uandike hiki kijambo!Pamoja na kwamba itakuwa pengo ila Discipline ni kitu muhimu kwa Professional yoyote.
Ni either uripoti mda uliotakiwa, au uombe ruhusa na ukubaliwe au ukataliwe. Discipline.
Bila Discipline hakuna mafanikio au maendeleo katika Profession yoyote.
Discipline, nakazia, Discipline.
Sent using Jamii Forums mobile app
Subiri mvua ya magoli ndio useme haya mineno mbofu mbofuJapo sijui sababu nini ila wachezaji wetu wanatia aibu sana haiwezekani mchezaji wa timu ya Simba ukashindwa kuonesha heshima kwa kocha aliyewahi kuchezea club kubwa duniani kama Barcelona, huu ulikuwa ndo muda wa wao kuanza kufahamika kimataifa, maana huyu kocha anamtandao mkubwa na anafuatiliwa na watu wengi duniani. Jambo la kuachwa wachezaji wa Simba limeniuma sana kama mtanzania na pia kama shabiki wa Simba, ila nifunzo kwa wengine.
Hawasaidii chochote, waondolewe tu.Sasa akosekane MKUDE KICHUYA KAPOMBE NYONI DILUNGA NA BOKO MBONA KAMA PILAU BILA KACHUMBALI ASEE"
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna ajabu gani walishaga Fanya kwenye soka hao uliowataja kama sio unazi wako tu unakusumbua.Sasa akosekane MKUDE KICHUYA KAPOMBE NYONI DILUNGA NA BOKO MBONA KAMA PILAU BILA KACHUMBALI ASEE"
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona imewezekana mashabiki wote kuwa vile Rage alisema?Lazima utazame mazingira,wote hao hawawezi kukosa nidhamu
Wana majina makubwa gani mbona wapo stars siku zote na tunatandikwa deile? Manara kawashauri vibaya eti watameki font pegUongozi uwaombee msamaha Kama kosa la uongozi/club. Mimi nadhani tuache hii tabia ya majina makubwa inatuathiri sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Atarudi kwao kwa kasi ya 5GAombe wasifungwe. Wakipigwa 3 apitilize moja kwa moja kwenda kwao. Haijui bongo kaja kwa pupa