Sijui itakuaje kama hawa wachezaji hawatacheza...

Ni wazi sio kosa lao, haiwezekani wote wasiende kwa wakati mmoja na wala hawana rekodi ya nidhamu mbaya.
 
Yataishia kucheza humuhumu haya ma mbwa koko.
Japo sijui sababu nini ila wachezaji wetu wanatia aibu sana haiwezekani mchezaji wa timu ya Simba ukashindwa kuonesha heshima kwa kocha aliyewahi kuchezea club kubwa duniani kama Barcelona, huu ulikuwa ndo muda wa wao kuanza kufahamika kimataifa, maana huyu kocha anamtandao mkubwa na anafuatiliwa na watu wengi duniani. Jambo la kuachwa wachezaji wa Simba limeniuma sana kama mtanzania na pia kama shabiki wa Simba, ila nifunzo kwa wengine.
 
z
Pamoja na kwamba itakuwa pengo ila Discipline ni kitu muhimu kwa Professional yoyote.

Ni either uripoti mda uliotakiwa, au uombe ruhusa na ukubaliwe au ukataliwe. Discipline.

Bila Discipline hakuna mafanikio au maendeleo katika Profession yoyote.

Discipline, nakazia, Discipline.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni bora waende tu hao wenye nidhamu pengine wanaweza kutusaidia tukafuzu kombe la Africa maana hawa wengine wenye majina wameshidwa kufanya hivyo miaka nenda rudi pengine ni kwa sababu ya utovu wa nidhamu.
 
Pamoja na kwamba itakuwa pengo ila Discipline ni kitu muhimu kwa Professional yoyote.

Ni either uripoti mda uliotakiwa, au uombe ruhusa na ukubaliwe au ukataliwe. Discipline.

Bila Discipline hakuna mafanikio au maendeleo katika Profession yoyote.

Discipline, nakazia, Discipline.

Sent using Jamii Forums mobile app
Subiri tukibugizwa migoli ma Uganda ndio uandike hiki kijambo!
 
Japo sijui sababu nini ila wachezaji wetu wanatia aibu sana haiwezekani mchezaji wa timu ya Simba ukashindwa kuonesha heshima kwa kocha aliyewahi kuchezea club kubwa duniani kama Barcelona, huu ulikuwa ndo muda wa wao kuanza kufahamika kimataifa, maana huyu kocha anamtandao mkubwa na anafuatiliwa na watu wengi duniani. Jambo la kuachwa wachezaji wa Simba limeniuma sana kama mtanzania na pia kama shabiki wa Simba, ila nifunzo kwa wengine.
Subiri mvua ya magoli ndio useme haya mineno mbofu mbofu
 
Maamuzi Yake Nmeyaunga Mkono 100%.Usimba Na Uyanga Umetuzidi!Hata Tukifungwa Kwa Kweli Sitamlaumu Kocha!Wachezaji Waige Mfano Kwa Mbwana Samatta!
 
Back
Top Bottom