James_patrick_
Senior Member
- Mar 20, 2017
- 106
- 194
Kwa wale wote mnaopenda kutuma mizigo kwenye mabasi halafu mnadanganya bei mzigo wa milioni moja unasema laki moja.
Sasa kwa madereva hawa wa mabasi walivyo na mahesabu ya kitoto wanavyosababisha ajali..sijui inakuwaje sasa ukienda kudai fidia ya mzigo wako na ulisema mzigo ni wa hela ndogo.
Tuache tu hiyo tabia maana mtaingia sana hasara.
Sasa kwa madereva hawa wa mabasi walivyo na mahesabu ya kitoto wanavyosababisha ajali..sijui inakuwaje sasa ukienda kudai fidia ya mzigo wako na ulisema mzigo ni wa hela ndogo.
Tuache tu hiyo tabia maana mtaingia sana hasara.