Sikushauri wewe,ila nawashauri wanawake ,ukiwa na mpango wa kuolewa dada yangu punguza marafiki wa kiume,. Binafsi sijawai amini urafiki kati ya mwanamke na mwanaume,. Ukiona demu wako ana rafiki wa kiume na hamna kilichotokea ,ujue huyo mwanaume kaamua kumuheshimu ,,,, nilikuwa na marafiki wa kike ila asilimia 75% walibadili lengo la urafiki wanapokuta nipo Bado kwenye lengo la kwanza (urafiki)wanaishia kunilaumu "eti nimezubaa". ,,, Mission ya kwanza kwenye mahusiano yangu Kila siku ni kuhakikisha mwandani anajua siwaamini rafiki zake wa kiume wote,so she fights to keep a distance from them ili mi niendelee kuwepo kwenye maisha yake,kinyume na hapo anajua