Sijui atanidharau?

Sijui atanidharau?

Rutorial k

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2014
Posts
1,058
Reaction score
1,037
Niko mwaka watatu katika chuo fulani,sasa kuna dada nasomanae ametokea kunipenda sana,kila wakati anataka tuwe pamoja,tukienda kusoma kama ninamaji yachupa tuna share.

Mara anikumbatie,mara aniulize hivi kweli huwa unatongoza yani ni kila aina ya sarakasi.Tatizo ni kuwa mimi ninamchumba na nampenda sana japo yuko mbali.

Sasa nisipomdu si atanidharau sana? Namimi pia nikimdu akaning'ang'ania tuoane itakuaje kwa mchumba wangu? Ushauli wako unaweza kunisaidia.
 
Kuwa mwaminifu ni heshima kubwa sana bro, si wanaume wote tuna ujasiri huo. Tumia elimu yako kumuelewesha
 
we we jua niko chuo tu,chuo gani kitakusaidia nn?
 
kwahiyo akikudharau mwili wako unatoboka toboka....?....kama una mpenda huyo mchumba wako sidhani kama dharau za huyo mwingine zitakuumiza......
 
Tunza heshima yako. Dharau ingekuwepo kama usingekuwa na mchumba
 
sasa wewe gussa sijui duwasa mapenzi yana utalamu,alafu c ndio maana nikaomba ushari.ningekua na pupa c ningekua nimesha yakoroga?unapaswa kunipongeza
 
Average GPA yako ya First na Second year ni ngapi? Tuanzie hap kwanza
 
GRADUATE WITH As NOT WITH AIDS! Vya shetani vimenona mtumishi. :lol:
 
Mpaka unaandika hapa wewe ni boy huna maamuzi
 
Heee! Yaan wewe kushare maj ya chupa na dem, kukumbatiana, kukaa pamoja, tayari unatamani kudu. Pole sana, inaonekana umeanza kuwa na ukaribu na madem ukubwani.

Wenzio tunaenda nao beach wakiwa wamevaa chupi tu tunanyonyana mate, wanakuja magetoni hadi kubadilisha nguo but tunachukuliana AS FRIENDS TUUU!

Natumai cku ukienda na dem beach halaf ikatokea kajiachia na bikin tu utapiz mara saba!
 
either way dharau lazima ikukute...mgegede huyu kicheche udharauliwe na mchumbako na akupige chini kabisa au muheshimu mchumbako udharauliwe na kicheche...kwa elimu yako ya chuo kufanya uchaguzi ni vyepesi sana hapo
 
Back
Top Bottom