Sijielewi

Angalia whats common between wakaka wote uliotoka nao then utajua wanaume wa aina hiyo sio wako,jifunze kwa makosa yako,..take your time kabla hujaanza ku-date jamaa mwingine..
 
its simple like this-LET IT GO-GIV HIM A GIFT OF GOOD BYE!usikae usipostaili amka tembea tafuta mahali sawa na usonge mbele.
 
i promic u njoo kwangu we mwenyewe utafurahi huwaga sina tabiaa ya kuacha,yaan apa kwangu ni kucare na malovedavi kwenda mbele...ni PM mamii
 
"Inawezekana hao uliokutana nao haikupangwa wewe kuwa nao thats why mli-break up,kabla ya kuanzisha mahusiano chukua muda wako umuombe kwanza muumba wako akufungulie macho ya ndani umuone yule uliyepangiwa.jichunguze wewe kama wewe una mapungufu/kasoro gani,au una tabia gani ambayo unahisi hao wanaume uliokutana nao hawaipendi thats why wanakukimbia soon baada ya ku do?pengine tatizo linaweza kuwa more internally than externally...jichunguze vizuri dada yangu utapata jawabu,au labda wewe ni mzuri sana hivyo wanaume wengi wanatamani ku do na wewe thereafter wanakimbia nini?i think it is a million dollar question""


dah we ndo umemaliza kila kitu, tatizo laweza kuwa more internally than externally. Maana most of wadada wanablem kuachwa na wanaingia katika uhusiano mwingine bila kutafuta chanzo kilichovunja uhusiano wa kwanza. plse jichunguze kwanza before hujaanzisha uhusiano mwingine wa kimapenzi.
 
Asalaam Aleikum!
Bwana Yesu asifiwe!

Nilimpenda sana kaka mmoja aliyekuwa mwalimu wangu, kumbe na yeye kwa wakati huo alikuwa ananipenda ila hakutaka kuniambia. Tuliheshimiana sana pia tulikuwa marafiki sana. Baada ya kumaliza chuo niliondoka mkoan hapo lakini nawasiliano yaliendelea, hapo ndipo alipoanza kusema lake la moyoni.

Woooh, nilifurahi sana na kujisemea moyoni ulikuwa wapi? mawasiliano yaliendelea kuwa mazuri zaidi na zaidi, baada ya mwaka nilikwenda kumtembelea ila sikufika anapoishi kwani nilihisi kwa jinsi ninavyomfeel na yeye anavyonifeel tunawezajikuta tumeishia kubanjuja. Nilifanya hivyo kila mwaka nilipopata likizo kwa kipindi cha miaka mitatu.

Tulizungumza mambo mengi hasa kuhusu kuanzisha familia na alionekana kukubali,mwaka wa nne tulianza mapenzi rasmi nikiamini kuwa tunaelekea kuanzisha familia kwani ni muda tosha wa kusomana tabia (hayo ndio yalikuwa mawazo yangu) baada ya miezi minne ya mapenzi motomoto alianza kubadilika, mara hapatikani siku nzima ukimuuliza anadai simu haikuwa na charge, mara line iliblock na sababu chungu nzima.

Kwa vile sikuwahi kufika kwake niliamua kufunga safari na kwenda mpaka ofisini kwake, nilichoambiwa ni kwamba kasafiri kwenda mkoani anakaribia wiki, kabla ya hapo alikuwa na wiki nzima hapokei wala kujibu sms zangu na hatukuwa tumegombana. Nilichukia na kumuandikia sms kali ya kusitisha uhusiano. Nahisi alishukuru sana kwani hakujibu kabisa. Na uhusiano tulikuokuwa tumeudumisha kwa muda wa miaka minne ukaishia hapo....

Ilikuwa ni mwezi wa tano tangu nimeachana na huyo kaka. Ilipofika mwezi wa nane nilipigiwa simu na kaka mwingine niliyesoma nae course flani miaka ya nyuma, wakati tunasoma alinidatilia sana ila sikumkubalii. Alinikaribisha kwake nikamuhaidi ningeenda wiki iliyofata, kweli nilienda tuliongea mambo mengi hatimaye tukaanza uhusiano, baada ya mwezi tukapeana maraha. Kiukweli ndani ya mwezi kabla ya ku-do alinicare sana. Outing kibao, shopping za kufa mtu n.k.

Ila baada ya ku-do tu mapenzi yalipungua hatimaye nilimchukia sana na mapenzi yakaisha. Huyu wa mwisho sasa yeye nilimzungusha kwa muda wa miezi sita baadaye nikaamua kujilipua nikampa tundi... Weee yan yeye alikuwa akijisikia ndio ananitafuta "wewe uko wapi nikufate" akinifata ni direct kwake ku-do tu. Baada ya hapo anaweza asipokee simu au asijibu sms. Na ikitokea kajibu jua kuwa anahitaji. Ukisema basi tutoke tukazungumze kuhusu mahusiano yetu anadai yupo busy.

Je nifanyeje, mapenzi kwangu yamekuwa shubiri, ni miezi miwili sasa mawasiliano yamekatika baina yangu na boyfriend wangu wa mwisho. Je nimekuwa rahisi sana? Lakini mbona nachukua muda mrefu kukubali kutoa tundi labda ungesema ni Easy Going? Msaada wenu ni muhimu kwangu. Samahani kwa maneno mengi. Ahsanteni.
Kwanza pole sana!
Kama wadau wengi walivyochangia kwamba ukimkataa mwanaume mkatae mazima...kama miaka mine imepita tangu umakatae mtu, ni dhahiri kashakuta na wengi hapo katikati na pengine ashaamua aweke wapi moyo wake. Ila mkikutana lazima aendelee kuomba ‘mzigo’ ili kulinda heshima usije kumuweka kwenye orodha ya watu uliowahi kuwamwaga. So it’s all about ‘EGO’. Wanaume wengi huwa hawakubali kushindwa, akianza kukutongoza ukimsumbua anaongeza bidii mpka afanikiwe. Kinachoonekana umekuwa uki- date na alumni na your previous rejects who seem to come back ‘just to get into your pants.’ You might find yourself dating people who are about to quit bachelors camp. So, Kunjua side mirrors zako angalia nyuma ulipokosea and move on, get someone new and someone you can know his current status... Falling down is not bad, the worst thing is fall and remain down.
 
Vilio vimekuwa vingi mno kwa madada zetu wanaume wamekuwa wakatili sana nakupa pole ila kama hutajali nakukaribisha kwangu kwa mikono miwili ufurahie maisha hakika utasahau yote yaliyo kutokea
 
Mhhhhhhhhhh! Pole Sana Aiseeeeeeeee!!!!!! Ushauri wangu LEARN THE RULES OF THE GAME AND PLAY BY THE RULES!!!!!!!!!
mshauri nafahamu we una experience na umekomaa kwenye angle hiyo , huyu mi namuona bado beginer na atachezewa kama mpira wa kona.....we are just having fun no commitment......
 
Back
Top Bottom