kbm
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 5,222
- 1,670
Dada yangu pole sana. Nimesoma maelezo yako na kugundua jambo fulani, yawezeka ikawa ngumu wewe kulitambua. Wako wengi walioumizwa kama wewe, na wengi wanaona haibu kujilipua kwa sababu nafsi inawasuta. Lamuhimu ni kujipanga upya, kwani tayari umeisha gongwa na nyoka, tena mwenye sumu kali, kwa sasa UKIGUSWA NA JANI TU...