Sijawahi sex hata one day

utakuwa unajilipua sana ucku...achana na mambo ya wakubwa, ni utumwa..yataathiri masomo yako bure, mda utafika usiogope.!
 
So unataka tukwambie namna ya kufanya? Kama unaogopa basi fahamu unajiweka kwenye brain torture ya hatari, unakuwa kama jibwa koko. Na mwisho wa yote ni kupata mfadhaiko uwapo na mwanamke hiyo siku ya kwanza na uume kushindwa kusimama. Hapo ndipo ujasiri kwa kupigwa nyuma utakapokuingia. Utaishia kibao kata. Kuwa MWANAUME WEWE!


...dah, kaka mbona unaua sasa....kha.
umenikumbusha mbali kweli Tigga mumba kwenye red hapo:

''Kibaooooo kata, kata usiogope''
 
Safi sana mkuu, endelea kuvumilia na kujizuia. Tendo hilo kimsingi ni kwa wanandoa kutimiza matatu nayo ni upendo/love, umoja/unitive na kupata watoto ikiwezekana/procreation nje ni kumisuse tu.

Endelea kugunga mdogo wangu.
Gene!
 
Na ole wako siku ukijaribu tu ndo siku hiyo hiyo umepata virusi, labda waombe kaka zako wakupe kitchen party kwanza.
 
You dont need to be in hurry for sex, coitus before marriage will do more harm to you than good, wakati wa kuoa ukifika utajua tu, kwani mbuzi au doggy anajifunzia wapi? wewe ni mtu mwanye akili kuliko wanyama wakati wa kuoa ukifika mambo yatakuwa safi, just jitunze kwa sasa!
 
Nina miaka 24 ninasoma chuo sijawahi sex hata siku moja hivyo nimejawa na hofu kubwa sana kwamba itakuaje hiyo siku hivyo inapelekea uoga wa kuwa na uhusiano na msichana kwakufikiria itakuaje siku akihitaji sex wengine wananifata nakataa sio kwa siwapendi au sitaki hapana nikwamba nafikiri itakuaje sasa hiyo siku akitaka? Na wengine nawatoke mwenyewe wanakubali wakihitaji sex nawazungusha hadi wananitosa wananiona siosio ila mimi najiona niko poa ,sasa hii inakuaje? Na mimi nahitaji kupasha. yaani hadi naogopa kwa hali hii ntakuja kuoa!! Sasa sijui nifanyeje ili niwe na confidence yakutosha maana najikaza lakini bado naloose


Siku ya kwanza kumpata mwenzio inabidi ambulace isiwe mbali manake unaweza kumwuua mwenzio. Hongera sana kwa uvumilivu huo mkuu
 
Nina miaka 24 ninasoma chuo sijawahi sex hata siku moja hivyo nimejawa na hofu kubwa sana kwamba itakuaje hiyo siku hivyo inapelekea uoga wa kuwa na uhusiano na msichana kwakufikiria itakuaje siku akihitaji sex wengine wananifata nakataa sio kwa siwapendi au sitaki hapana nikwamba nafikiri itakuaje sasa hiyo siku akitaka? Na wengine nawatoke mwenyewe wanakubali wakihitaji sex nawazungusha hadi wananitosa wananiona siosio ila mimi najiona niko poa ,sasa hii inakuaje? Na mimi nahitaji kupasha. yaani hadi naogopa kwa hali hii ntakuja kuoa!! Sasa sijui nifanyeje ili niwe na confidence yakutosha maana najikaza lakini bado naloose



aaaaaiiiiiiii.. njoo kwangu natoa darasa.... Khaaa!
 
Mwana fanya juu chini ufikie malengo maana usije kaa kimya unasubili siku ifike kumbe unatatizo you better know ili wakati wa kuoa ukifika usipate shida, Just select one whom you think is real loving you cheza naye yeye mwenyewe atakuonyesha nini cha kufanya,Ila usije nogewa ukaendeleza huo mchezo sio mzuri...........
 
kama kiungo chochote katika mwili wa binadamu kilichoumbwa kwa kazi fulani halafu hukitumii later kitadisappear au kulemaa,nakupa mfano kama mtoto anapoanza kufikia hatua ya kutembea na hapewi au hafanyi mazoezi yoyote ya kutembea itafikia mahali hataweza kutembea kabisa kwa hiyo hivi viungo vilivyoumbwa na mungu kwa kazi yake lazima vitumie kwa kazi yenyewe amasivyo itakua problem later
 
Tafuta glass ya gongo a.k.a chang'aa a.k.a supu ya mawe a.k.a Konyagi dume muda mfupi kabla ya ku do. Kwa ushauri zaidi tuwasiliane baada ya tukio.
 
Siku ya kwanza kumpata mwenzio inabidi ambulace isiwe mbali manake unaweza kumwuua mwenzio. Hongera sana kwa uvumilivu huo mkuu
Na ungemwambia na asisahau maji lile chupa la lt 1.5. Endelea kuwa na subira,Na je? Kuna ki2 nilitaka kumwuliza lakini ngoja nimwache nitarudi baadae.
 
Back
Top Bottom