Dreamliner
JF-Expert Member
- Jan 17, 2010
- 2,034
- 213
Mwaego TULIA tu.. Muda ukifika, hutahitaji kufundishwa, wala ushauri....
So unataka tukwambie namna ya kufanya? Kama unaogopa basi fahamu unajiweka kwenye brain torture ya hatari, unakuwa kama jibwa koko. Na mwisho wa yote ni kupata mfadhaiko uwapo na mwanamke hiyo siku ya kwanza na uume kushindwa kusimama. Hapo ndipo ujasiri kwa kupigwa nyuma utakapokuingia. Utaishia kibao kata. Kuwa MWANAUME WEWE!
Nina miaka 24 ninasoma chuo sijawahi sex hata siku moja hivyo nimejawa na hofu kubwa sana kwamba itakuaje hiyo siku hivyo inapelekea uoga wa kuwa na uhusiano na msichana kwakufikiria itakuaje siku akihitaji sex wengine wananifata nakataa sio kwa siwapendi au sitaki hapana nikwamba nafikiri itakuaje sasa hiyo siku akitaka? Na wengine nawatoke mwenyewe wanakubali wakihitaji sex nawazungusha hadi wananitosa wananiona siosio ila mimi najiona niko poa ,sasa hii inakuaje? Na mimi nahitaji kupasha. yaani hadi naogopa kwa hali hii ntakuja kuoa!! Sasa sijui nifanyeje ili niwe na confidence yakutosha maana najikaza lakini bado naloose
daah mwana mimi sijawahi piga pull na sihitaji kufanya hivyo
Nina miaka 24 ninasoma chuo sijawahi sex hata siku moja hivyo nimejawa na hofu kubwa sana kwamba itakuaje hiyo siku hivyo inapelekea uoga wa kuwa na uhusiano na msichana kwakufikiria itakuaje siku akihitaji sex wengine wananifata nakataa sio kwa siwapendi au sitaki hapana nikwamba nafikiri itakuaje sasa hiyo siku akitaka? Na wengine nawatoke mwenyewe wanakubali wakihitaji sex nawazungusha hadi wananitosa wananiona siosio ila mimi najiona niko poa ,sasa hii inakuaje? Na mimi nahitaji kupasha. yaani hadi naogopa kwa hali hii ntakuja kuoa!! Sasa sijui nifanyeje ili niwe na confidence yakutosha maana najikaza lakini bado naloose
Na ungemwambia na asisahau maji lile chupa la lt 1.5. Endelea kuwa na subira,Na je? Kuna ki2 nilitaka kumwuliza lakini ngoja nimwache nitarudi baadae.Siku ya kwanza kumpata mwenzio inabidi ambulace isiwe mbali manake unaweza kumwuua mwenzio. Hongera sana kwa uvumilivu huo mkuu
Mkuu wachina may disagree with you.....Tunza bikira yako mkuu usiiachie maana hairudi hiyo.....
Wewe kama unawaonea aibu mademu, tafuta mwanamume akutie maana wewe utakuwa shoga ila haujajijua.Nawashukuru wote na wengi wenu kutoielewa maada ,asanteni kwa matusi