Babuu blessed
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 1,362
- 490
pull nini kwani hiyodaah mwana mimi sijawahi piga pull na sihitaji kufanya hivyo
pull nini kwani hiyodaah mwana mimi sijawahi piga pull na sihitaji kufanya hivyo
ww mwana mbona unajiona mkubwa sana sijui hata unatakaje na pia mm sitegemei bajeti mm ni money maker sio kama ww hataufikiriiiSasa miaka 24 wewe mkubwa?????hapo ulipo unasoma na unatengewa bajeti......kama upo chuo sana sana unafanya shahada ya kwanza na labda upo mwaka wa piliiiiii......
ww baamedi hujaielewa mada"Baamedi" mpango mzima kumbuka zana tu.
Nina miaka 24 ninasoma chuo sijawahi sex hata siku moja hivyo nimejawa na hofu kubwa sana kwamba itakuaje hiyo siku hivyo inapelekea uoga wa kuwa na uhusiano na msichana kwakufikiria itakuaje siku akihitaji sex wengine wananifata nakataa sio kwa siwapendi au sitaki hapana nikwamba nafikiri itakuaje sasa hiyo siku akitaka? Na wengine nawatoke mwenyewe wanakubali wakihitaji sex nawazungusha hadi wananitosa wananiona siosio ila mimi najiona niko poa ,sasa hii inakuaje? Na mimi nahitaji kupasha. yaani hadi naogopa kwa hali hii ntakuja kuoa!! Sasa sijui nifanyeje ili niwe na confidence yakutosha maana najikaza lakini bado naloose
Nina miaka 24 ninasoma chuo sijawahi sex hata siku moja hivyo nimejawa na hofu kubwa sana kwamba itakuaje hiyo siku hivyo inapelekea uoga wa kuwa na uhusiano na msichana kwakufikiria itakuaje siku akihitaji sex wengine wananifata nakataa sio kwa siwapendi au sitaki hapana nikwamba nafikiri itakuaje sasa hiyo siku akitaka? Na wengine nawatoke mwenyewe wanakubali wakihitaji sex nawazungusha hadi wananitosa wananiona siosio ila mimi najiona niko poa ,sasa hii inakuaje? Na mimi nahitaji kupasha. yaani hadi naogopa kwa hali hii ntakuja kuoa!! Sasa sijui nifanyeje ili niwe na confidence yakutosha maana najikaza lakini bado naloose
Amakwel nmeamin kukua si kuongezeka miaka na ukubwa wa mwili2. I'm 21 ila kwa topic hii nakuterm we kama dogo langu wa form2.Kwaherini sijaridhishwa na ushauri
Misuli ya wapi? sphincter muscles au...?yes ni misuli mkuu
Ni mkaka alafu una miaka 24??? Hujawahi sex.... naomba nijibu haya maswali...
Jibu kama uko comfy, si lazima waweza potezea...
- Hua unapatwa na hamu ya kukutana na mwanamke?? (kama huelewi yaaani... dah naona niiache hivi hivi)
- Umeishi katika mazingira ya aina gani??
- Umewahi taka jaribu alafu ukaahirisha?
- Unataka mwanamke because ni obligation au kweli unataka??
- Uko wapi vile??
Kama unataka avunje amri ya sita eh? Majuto mjukuu.
Bwana Mbu, kwan m2 huanza mapenzi ili badae aache??!!!...kwanza hongera sana, pili nakusihi wala usijaribu bana. Ogopa, ...hata Mungu hapendi!Ukianza hutaacha! ...ukionja ujue ndio umejikaribishia matatizo yote ya hapa duniani."ukianza kula nyama ya mtu huachi!"
Sio hivyo EMT, sitaki nipambe maneno kwa kuangalia what is right.... Mimi daima niko
realistic.. Ndio naive in rare cases but at the end of the day realistic...
Nyie ni wakaka hebu naombeni mueleze kweli na jaribu kukumbuka zile teenage
years mpaka mnakua... Junior in this stage to my knowledge is big
trouble to most guys ambae kweli ni lijali...
Other wise factors za yeye kumzuia yeye kufurahi ziwepo... then i will understand..
thus the questions.... Hope umepata where am coming from...
Ulimwengu wa sasa usije kuchezea,
Kuna ndogo ndogo nyingi,
Utiapo fahamu huwa umepotea,
Na kila ukiwaza shida hutokea,
Moyo wangu wanituma vyema.
Utambuzi wa kua ulimwengu si wa kuchezea ni first step,
Ndio ndogo ndogo nyingi, but aweza stick to one,
anaweza asitie fahamu na akapotea vile vile,
Kuwaza muhimu.. shida huimarisha kuelekea uanaume,
Moyo waweza kutuma vyema but fate napo ikakuchakachua.
Lakini itawezekanaje afanye mapenzi pasipo na fikira,
Atapotea mtoto mzuri kwa kulewa na mapenzi
Atapata Toyota Corolla, halafu akwame mchangani,
Heri asubiri apate Ranger Rover, asijekwama mchangani,
Vinginevyo ni heri awe peke yake, asijekujitumbukiza ndani ya moto