Sijawahi sex hata one day

Sasa miaka 24 wewe mkubwa?????hapo ulipo unasoma na unatengewa bajeti......kama upo chuo sana sana unafanya shahada ya kwanza na labda upo mwaka wa piliiiiii......
ww mwana mbona unajiona mkubwa sana sijui hata unatakaje na pia mm sitegemei bajeti mm ni money maker sio kama ww hataufikiriii
 
Nina miaka 24 ninasoma chuo sijawahi sex hata siku moja hivyo nimejawa na hofu kubwa sana kwamba itakuaje hiyo siku hivyo inapelekea uoga wa kuwa na uhusiano na msichana kwakufikiria itakuaje siku akihitaji sex wengine wananifata nakataa sio kwa siwapendi au sitaki hapana nikwamba nafikiri itakuaje sasa hiyo siku akitaka? Na wengine nawatoke mwenyewe wanakubali wakihitaji sex nawazungusha hadi wananitosa wananiona siosio ila mimi najiona niko poa ,sasa hii inakuaje? Na mimi nahitaji kupasha. yaani hadi naogopa kwa hali hii ntakuja kuoa!! Sasa sijui nifanyeje ili niwe na confidence yakutosha maana najikaza lakini bado naloose



Ni mkaka alafu una miaka 24??? Hujawahi sex.... naomba nijibu haya maswali...
  • Hua unapatwa na hamu ya kukutana na mwanamke?? (kama huelewi yaaani... dah naona niiache hivi hivi)
  • Umeishi katika mazingira ya aina gani??
  • Umewahi taka jaribu alafu ukaahirisha?
  • Unataka mwanamke because ni obligation au kweli unataka??
  • Uko wapi vile??
Jibu kama uko comfy, si lazima waweza potezea...
 
Nina miaka 24 ninasoma chuo sijawahi sex hata siku moja hivyo nimejawa na hofu kubwa sana kwamba itakuaje hiyo siku hivyo inapelekea uoga wa kuwa na uhusiano na msichana kwakufikiria itakuaje siku akihitaji sex wengine wananifata nakataa sio kwa siwapendi au sitaki hapana nikwamba nafikiri itakuaje sasa hiyo siku akitaka? Na wengine nawatoke mwenyewe wanakubali wakihitaji sex nawazungusha hadi wananitosa wananiona siosio ila mimi najiona niko poa ,sasa hii inakuaje? Na mimi nahitaji kupasha. yaani hadi naogopa kwa hali hii ntakuja kuoa!! Sasa sijui nifanyeje ili niwe na confidence yakutosha maana najikaza lakini bado naloose

...kwanza hongera sana, pili nakusihi wala usijaribu bana. Ogopa, ...hata Mungu hapendi!
Ukianza hutaacha! ...ukionja ujue ndio umejikaribishia matatizo yote ya hapa duniani.
"ukianza kula nyama ya mtu huachi!"
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Ni mkaka alafu una miaka 24??? Hujawahi sex.... naomba nijibu haya maswali...
  • Hua unapatwa na hamu ya kukutana na mwanamke?? (kama huelewi yaaani... dah naona niiache hivi hivi)
  • Umeishi katika mazingira ya aina gani??
  • Umewahi taka jaribu alafu ukaahirisha?
  • Unataka mwanamke because ni obligation au kweli unataka??
  • Uko wapi vile??
Jibu kama uko comfy, si lazima waweza potezea...

Kama unataka avunje amri ya sita eh? Majuto mjukuu.
 
Kama unataka avunje amri ya sita eh? Majuto mjukuu.


Sio hivyo EMT, sitaki nipambe maneno kwa kuangalia what is right.... Mimi daima niko
realistic.. Ndio naive in rare cases but at the end of the day realistic...
Nyie ni wakaka hebu naombeni mueleze kweli na jaribu kukumbuka zile teenage
years mpaka mnakua... Junior in this stage to my knowledge is big
trouble to most guys ambae kweli ni lijali...

Other wise factors za yeye kumzuia yeye kufurahi ziwepo... then i will understand..
thus the questions.... Hope umepata where am coming from...
 
  • Thanks
Reactions: EMT
...kwanza hongera sana, pili nakusihi wala usijaribu bana. Ogopa, ...hata Mungu hapendi!Ukianza hutaacha! ...ukionja ujue ndio umejikaribishia matatizo yote ya hapa duniani."ukianza kula nyama ya mtu huachi!"
Bwana Mbu, kwan m2 huanza mapenzi ili badae aache??!!!
 
Sio hivyo EMT, sitaki nipambe maneno kwa kuangalia what is right.... Mimi daima niko
realistic.. Ndio naive in rare cases but at the end of the day realistic...
Nyie ni wakaka hebu naombeni mueleze kweli na jaribu kukumbuka zile teenage
years mpaka mnakua... Junior in this stage to my knowledge is big
trouble to most guys ambae kweli ni lijali...

Other wise factors za yeye kumzuia yeye kufurahi ziwepo... then i will understand..
thus the questions.... Hope umepata where am coming from...

Ulimwengu wa sasa usije kuchezea,
Kuna ndogo ndogo nyingi,
Utiapo fahamu huwa umepotea,
Na kila ukiwaza shida hutokea,
Moyo wangu wanituma vyema.
 
Wewe inawezekana ni gay. Ila kama hujaanza sex, basi usijaribu, maana kama una dhani ni big deal basi nikuambie sio kihivyo , huja miss chohcote tena sex unavyo zidi kua mkubwa ndio una jua kufanya mapenzi zaidi, sio kutwangana ila ni kuromance na kujaliana, usidanganyike , halilisha unapima na unaye kutana naye siku ukiamua kufanya kwa mara ya kwanza!
 
Ulimwengu wa sasa usije kuchezea,
Kuna ndogo ndogo nyingi,
Utiapo fahamu huwa umepotea,
Na kila ukiwaza shida hutokea,
Moyo wangu wanituma vyema.

Utambuzi wa kua ulimwengu si wa kuchezea ni first step,
Ndio ndogo ndogo nyingi, but aweza stick to one,
anaweza asitie fahamu na akapotea vile vile,
Kuwaza muhimu.. shida huimarisha kuelekea uanaume,
Moyo waweza kutuma vyema but fate napo ikakuchakachua.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
ha ha ha h a kaka PUCHU ndo kila kitu bn piga puchu kama mimi huwa sitamani wadada hata cku moja yaaaani ni puchu tu saizi nia niaka 39 sijaoa wala nini ni mwendo wa puchu tu hadi uzeeni hakuna kuoa hapa. so kama unajeuri fata nyayo,
 
Utambuzi wa kua ulimwengu si wa kuchezea ni first step,
Ndio ndogo ndogo nyingi, but aweza stick to one,
anaweza asitie fahamu na akapotea vile vile,
Kuwaza muhimu.. shida huimarisha kuelekea uanaume,
Moyo waweza kutuma vyema but fate napo ikakuchakachua.

Lakini itawezekanaje afanye mapenzi pasipo na fikira,
Atapotea mtoto mzuri kwa kulewa na mapenzi
Atapata Toyota Corolla, halafu akwame mchangani,
Heri asubiri apate Ranger Rover, asijekwama mchangani,
Vinginevyo ni heri awe peke yake, asijekujitumbukiza ndani ya moto
 
Lakini itawezekanaje afanye mapenzi pasipo na fikira,
Atapotea mtoto mzuri kwa kulewa na mapenzi
Atapata Toyota Corolla, halafu akwame mchangani,
Heri asubiri apate Ranger Rover, asijekwama mchangani,
Vinginevyo ni heri awe peke yake, asijekujitumbukiza ndani ya moto


Mapenzi hayasukumwi na fikiri bali na hisia,
kuchelewa kwake katika kulewa Mapenzi ni tatizo,
Makosa ya kufanya udogoni atafaya ukubwani,
Hata apate Range hata weza let alone Toyota,
Ndani ya moto tayari ndo mana JF kawakilisha.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Usiku mwema! Namshauri mambo mawili. 1. Aendelee kupiga punyeto at the same time asiitelekeze dini yake yenye masharti yanayowabana.
2. Aingie ktk mapenzi, afanye mapenzi km rijali kamili, akutane na wanawake sugu wamtende wamkomaze, wamtoge hyo bikira yake na apanuke fikra. Next tym mawazo na maswali haya ya kitoto hatuyategemei.. Kazi ipo!
 
Back
Top Bottom