Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Rushwa na ubadhirifu ni kero kubwa katika nchi hii.Mnaweza kama taifa kupanga mipango mingi lakini isifanikiwe kwa ufisadi.
Nimepitia maktaba sijaona pahali Lowassa au Mbowe wakikemea vitendo hivi,wizi,ubadhirifu na ufisadi wa mali za umma.Nini kinawazuia? Je wana maslahi gani na hii sekta chafu?
Nimepitia maktaba sijaona pahali Lowassa au Mbowe wakikemea vitendo hivi,wizi,ubadhirifu na ufisadi wa mali za umma.Nini kinawazuia? Je wana maslahi gani na hii sekta chafu?