Hebu tupe sifa za mbilikimo tujiridhishe kama hawakua mbilikimo.Wale hawakuwa mbilikimo mkuu.
Wanaliwa..kivipi mkuu?
Wakuu kwema?
Kama nitakuwa nakosea,naomba mnisamehe in advance.
Kiukwel sijawahi kuhudhuria au kuskia msiba wa mbilikimo.
Hivi huwa wanakufa,na kama wanakufa huwa wanazikwa kawaida kama binadamu wengine au?
Unamkumbuka Emoro?Hata miye ningependa kuju
a
Wanapigwa papuchi,wakike lakinWanaliwa..kivipi mkuu?
Mjinga wewe 😂😂nimecheka sana aisee!!Congo D. R wanaliwa
ukute na wao hawajasikia wewe umekufaWakuu kwema?
Kama nitakuwa nakosea,naomba mnisamehe in advance.
Kiukwel sijawahi kuhudhuria au kuskia msiba wa mbilikimo.
Hivi huwa wanakufa,na kama wanakufa huwa wanazikwa kawaida kama binadamu wengine au?
Uongo,,hao mbilikimo ndio hula watu...ninaishi na Jamaa mkongo ambae kufika kwao lazima upite kijiji cha hawa mbilikimo huko Congo wanaitwa wambote achana nao hawa Jamaa kwa ukorofi na uchawi...unaambiwa wanatekaga treni wanafanya fujo.Congo D. R wanaliwa