FaizaFoxy pitia eneo hili...watoto wanaandika tuHabari zenu wapendwa"" naombeni ushauli jamani, kwanini kila nguo ninayoivaa HAINIPENDEZI...??? Yaani nimeshatupa pesa nyingi sana kununua Nguo kali za kijanja..'lakini wapi!!! SIPENDEZIIIIII. Masela eeh; nipeni ushauli NIFANYEJE dah...!
teh teh tehhahahhahah mmenichekesha kwa sauti! ahahahahah si kwa ushauri huo hahahahahaaahahahahahahahah
Namshauri anapovaa asijtathimini mwenyewe tu kwenye kioo aulize na watu wengine kama ni kweli hajatokelezea!!!!teh teh teh
wewe unamshauri nini aseeee
Wewe unafanya mazoezi? Kama hufahamu mazoezi ya kujenga mwili yatakufanya uonekane physically strong hata ukivaa nguo itakukaa vizuri tu.
Fanya cardio training, kuimarisha tumbo, mapaja, mikono nk.
Pia kama alivyoshauri mdau hapo juu nenda shopping na rafiki yako inawezekana hujui kuchagua nguo inayokukaa poa.
Hope this help
Pia angalia aina ya nguo unazovaaKheri yako umenipa ushuri MZURI"
ss wacha nitafute gm ilipo.