kinjekitile70
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 1,071
- 1,428
Habari wakuu
Niko mbele yenu kutoa ufafanuzi kidogo juu ya, maswali ya wengi kuuliza kama huwa Kuna watoto huzaliwa mapacha umasaini...
Ukweli ni kwamba hata mimi tokeaa kuzaliwa katika jamii yangu sijapata kuona mapacha, neither wa kufanana nor fraternal..
Nimekuwa nilijiuliza Bila kupata sababu. Lkini katika kupevuka kiakili na kuanza kushiriki katika jamii moja kwa moja, nimegundua sababu inayo fanya viumbe hawa kutokuonekana......
Wamasaii ni moja wa jamii ambayo iko conservative sana, wamefungwa na mila na desturi za wazee na wakati mwingine huusianisha na imani za kishirikina kuwa mapacha kuzaliwa ni dalili ya kuchukizwa kwa mizimu kwa jambo fulani hvyo lazima jambo lifanyike kuweza kupooza au kuzuia kabisa hasira za mizimu....
Kwa kawaida ili mizimu iweze kunyamaza ni lazima kafara itolewe ili wapate damu nipo watakapo Achilia msamaha kwa jamii husika
KAFARA HIYO NI NANI???
Kwa swala kama Hili mizimu haiitaji kafara ya ng'ombe ama mbuzi Bali damu ya Mwana damu ndo inahitajika....
Lazima mmja watoto waliozaliwa apelekwe kibla ili kuinusuru jamii
Na swala Hili hufanyika kwa siri sana Bila hata baba wa mtoto kujua, na wakt mwingine hata mama mzazi mwenyewe hujui
Inakuwa ni ishu ya wakunga au msaidizi yoyote muda wa kuji fungua.
Hii ndo sababu kubwa kwanini hatuoni mapacha wa Kimasaiii!!!!!!!
End..
Niko mbele yenu kutoa ufafanuzi kidogo juu ya, maswali ya wengi kuuliza kama huwa Kuna watoto huzaliwa mapacha umasaini...
Ukweli ni kwamba hata mimi tokeaa kuzaliwa katika jamii yangu sijapata kuona mapacha, neither wa kufanana nor fraternal..
Nimekuwa nilijiuliza Bila kupata sababu. Lkini katika kupevuka kiakili na kuanza kushiriki katika jamii moja kwa moja, nimegundua sababu inayo fanya viumbe hawa kutokuonekana......
Wamasaii ni moja wa jamii ambayo iko conservative sana, wamefungwa na mila na desturi za wazee na wakati mwingine huusianisha na imani za kishirikina kuwa mapacha kuzaliwa ni dalili ya kuchukizwa kwa mizimu kwa jambo fulani hvyo lazima jambo lifanyike kuweza kupooza au kuzuia kabisa hasira za mizimu....
Kwa kawaida ili mizimu iweze kunyamaza ni lazima kafara itolewe ili wapate damu nipo watakapo Achilia msamaha kwa jamii husika
KAFARA HIYO NI NANI???
Kwa swala kama Hili mizimu haiitaji kafara ya ng'ombe ama mbuzi Bali damu ya Mwana damu ndo inahitajika....
Lazima mmja watoto waliozaliwa apelekwe kibla ili kuinusuru jamii
Na swala Hili hufanyika kwa siri sana Bila hata baba wa mtoto kujua, na wakt mwingine hata mama mzazi mwenyewe hujui
Inakuwa ni ishu ya wakunga au msaidizi yoyote muda wa kuji fungua.
Hii ndo sababu kubwa kwanini hatuoni mapacha wa Kimasaiii!!!!!!!
End..