Magari ya kukodisha
JF-Expert Member
- Sep 16, 2019
- 412
- 695
Imeisha hiyo
Rafiki yangu mmoja alinishauri kama ni hivyo nitafute single mother mmoja ndio nimzalishe kwa maana wale wanakuwaga na stress za kutaka kupata mtu was kudumu nae.
Je wewe unanishaurije
Jinsi single mother wanavyoongelewa vibaya, utafkiri hizo mimba walijipa wenyewe!
Shame on you
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nina sababu za msingi nimezitoa hapo...sikuhiz wanawake sio waaminifu kabisaaaKama hutaki kuoa acha kutafta mtoto kwanin uzae mtoto nje ya ndoa? Unahalalisha uzinifu na bado unataka kuzaa haramu??
Badilika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hawa mabint wa miaka ya tisini hakuna kitu na wewe unalifahamu hilo fika kabisaMama na Dada Shangazi zako nao ni wasaliti?
Je na wao wakizalishwa au walizalishwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kuwataja tu single mother ndio kuwanyanyapaa?acheni zenuHi tabia ya kunyanyapa wanawake eti (singo maza) naichukia hao wakina mama wengi wako vizuri na hawajutii kuliko hata hao wengine
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo shida yenu...Kwa jinsi mahusiano ya watu wengi yalivyo hivi sasa nimekata kabisa hamu ya kuoa
Wanawake karibu asilimia 98% wanasaliti ndoa zao hata wale ambao hukuwadhania
Inavunja sana moyo hata wa kuingia kwenye ndoa tusije kufa na presha
Kwasasa nimeamua kutafuta mwanamke wa kumzalisha kwa kumlaghai nitamuoa akinizalia mtoto tu namalizana nae
Rafiki yangu mmoja alinishauri kama ni hivyo nitafute single mother mmoja ndio nimzalishe kwa maana wale wanakuwaga na stress za kutaka kupata mtu was kudumu nae.
Je wewe unanishaurije
Kwa yeye wa miaka ipi?Mkuu hawa mabint wa miaka ya tisini hakuna kitu na wewe unalifahamu hilo fika kabisa
Aisee mbona unanikatisha tamaa kabisa sasaNdo shida yenu...
1. Mnadhani ndoa inasumbuliwa na usaliti pekee
2. Mnadhani asipokusalitu badi mambo mswano
3. Mnadhani msipoowa mnakuwa salama
4. Mnadhami matatizo wanayo wanawake pekee
WAPO WANAOPATA SHIDA ZA KWENYE NDOA, NA HAWAPO NDOANI... take it from me...
We zaa na huyo mwanamke, halafu utakuja jua kuwa kumbe mtoto anaweza akatumika kukupa stress za kwenye na huku upo singo
Tafakari na uchukue hatua
Tatizo siku hizi watu wanacheat sanaKama huna akili za kuendesha familia basi epuka kabisaaa kuzaa, utakuwa umeiepusha jamii na majanga yasiyo ya lazima.
Ila pia tujitafakari kama wazazi/walezi ni kizazi cha aina gani hiki tunakiandaa
For sure kabisa wapate korona wakufe wanaowapa single mama mimba na kukimbiaJins single mother wanavyoongelewa vibaya, utafkiri hizo mimba walijipa wenyewe!
Shame on you
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama huna akili za kuendesha familia basi epuka kabisaaa kuzaa, utakuwa umeiepusha jamii na majanga yasiyo ya lazima.
Ila pia tujitafakari kama wazazi/walezi ni kizazi cha aina gani hiki tunakiandaa
Kwa mawazo yako hayo, nakushauri mzalishe dada yako au mama yako. Usiharibie maisha mabinti wa watu kwa upumbavu wako, utakuja kurogwa jinga wewe..
Sent using Jamii Forums mobile app