LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,146
- 11,193
Haya mataifa ya kicomunist sijawahi kujua mpaka sasa yana faida gani mimi naona hata apa Africa hayana interest yoyote hata Putin tu kutia mguu Africa tokea aingie madarakani sijawahi muona
kuna watu hapa wanamsifia mrusi ila miili yao imejaa alama ya chanjo za bure za wazungu tokea wamezaliwa
watu wanamsifia mrusi ila wakati wa kulala wanameza dozi kwa msaada wa watu wa marekani nilitegemea kuonyesha mfano wangesusa wapambane na misaada kutoka urusi
nilitegemea pia hata mifumo ya mawasiliano tungeusa mfumo wa android na iOS za wamarekani tumgeukie mrusi hii ndio inaitwa unamsifia mrusi mchana usiku unaenda kula na kulala kwa mmarekani
wazungu wamewekeza sana Africa na wengine ni wanufaika wa ajira kwenye makampuni yao ila mrusi hata hapa tz sijui ana makampuni mangapi
viongozi wa africa shida zikitokea mabakuli ni nchi za mangaribi ila urusi sijawahi jua anafaida gani ulimwenguni
kuna watu hapa wanamsifia mrusi ila miili yao imejaa alama ya chanjo za bure za wazungu tokea wamezaliwa
watu wanamsifia mrusi ila wakati wa kulala wanameza dozi kwa msaada wa watu wa marekani nilitegemea kuonyesha mfano wangesusa wapambane na misaada kutoka urusi
nilitegemea pia hata mifumo ya mawasiliano tungeusa mfumo wa android na iOS za wamarekani tumgeukie mrusi hii ndio inaitwa unamsifia mrusi mchana usiku unaenda kula na kulala kwa mmarekani
wazungu wamewekeza sana Africa na wengine ni wanufaika wa ajira kwenye makampuni yao ila mrusi hata hapa tz sijui ana makampuni mangapi
viongozi wa africa shida zikitokea mabakuli ni nchi za mangaribi ila urusi sijawahi jua anafaida gani ulimwenguni