Sijaridhishwa na mkutano wa Comrade Polepole

Sijaridhishwa na mkutano wa Comrade Polepole

Nimeangalia kwa umakini sana, Ila sijaridhishwa kabisa na mkutano wake.

Mimi sio mwanasiasa ila sijajua point yake kubwa ya kufanya vile ni nini?

Hana mpangilio na anachozungumza, ni kama alikuwa anatoa kinyongo. What was the point? Kisha mwisho maamuzi yake ni nini?

Aliyeelewa anipe anieleweshe.
Kichwa kigumu. Polepole anaitaka CCM irejee kwenye utaratibu wa mtu kuchukua form ya kuomba nafasi ya urais na sio ujanja ujanja uliofanyika wa kukabia juu. Yaan fumba fumbua mgombea kapitia mlango wa jikoni kashakuwa mgombea tayari
 
Mwenyewe kasafiri
Hajasema mwenye nyumba "kasafiri" kasema haina mwenyewe maana yake kila mtu anafanya anachojisikia kwenye hiyo nyumba angekuwa kasafiri basi wanachofanya walau wangefanya kwa hofu maana wanajua ipo siku atarudi ila si hivyo ni kuwa hayupo.
 
Kichwa kigumu. Polepole anaitaka CCM irejee kwenye utaratibu wa mtu kuchukua form ya kuomba nafasi ya urais na sio ujanja ujanja uliofanyika wa kukabia juu. Yaan fumba fumbua mgombea kapitia mlango wa jikoni kashakuwa mgombea tayari
CHADEMA imeshtakiwa kwa kukiuka utaratibu na kufungiwa siasa, angeenda mbali kuishtaki CCM ingekaa sawa

Ili wasishiriki siasa ila kupiga kelele online without action, haina maana

Kashasema, then what?
 
Nimeangalia kwa umakini sana, Ila sijaridhishwa kabisa na mkutano wake.

Mimi sio mwanasiasa ila sijajua point yake kubwa ya kufanya vile ni nini?

Hana mpangilio na anachozungumza, ni kama alikuwa anatoa kinyongo. What was the point? Kisha mwisho maamuzi yake ni nini?

Aliyeelewa anipe anieleweshe.
Pengine angenitumia sura nyingine kuzungumzia Utekaji, lakini si Pole pole, kwani yeye alikuwa sehemu ya Utekaji 2015 - 2020. Tena kateka nakuuwa wengi sana
 
Nimeangalia kwa umakini sana, Ila sijaridhishwa kabisa na mkutano wake.

Mimi sio mwanasiasa ila sijajua point yake kubwa ya kufanya vile ni nini?

Hana mpangilio na anachozungumza, ni kama alikuwa anatoa kinyongo. What was the point? Kisha mwisho maamuzi yake ni nini?

Aliyeelewa anipe anieleweshe.


Kaongea mambo ya siasa, na wewe sio mwanasiasa,

Ila upo kwenye jukwaa la siasa, na unataka ueleweshwe na mwanasiasa alivyoelewa mazungumzo ya mwanasiasa pole pole
 
Nimeangalia kwa umakini sana, Ila sijaridhishwa kabisa na mkutano wake.

Mimi sio mwanasiasa ila sijajua point yake kubwa ya kufanya vile ni nini?

Hana mpangilio na anachozungumza, ni kama alikuwa anatoa kinyongo. What was the point? Kisha mwisho maamuzi yake ni nini?

Aliyeelewa anipe anieleweshe.
Rudi shule bro,kama chawa wanaandika Notice ili wamjibu pole pole wewe hujaelewa kitu😂😂
 
Kichwa kigumu. Polepole anaitaka CCM irejee kwenye utaratibu wa mtu kuchukua form ya kuomba nafasi ya urais na sio ujanja ujanja uliofanyika wa kukabia juu. Yaan fumba fumbua mgombea kapitia mlango wa jikoni kashakuwa mgombea tayari
Kwa hiyo amejiuzulu ubalozi kwa ajili hiyo?
 
Nimeangalia kwa umakini sana, Ila sijaridhishwa kabisa na mkutano wake.

Mimi sio mwanasiasa ila sijajua point yake kubwa ya kufanya vile ni nini?

Hana mpangilio na anachozungumza, ni kama alikuwa anatoa kinyongo. What was the point? Kisha mwisho maamuzi yake ni nini?

Aliyeelewa anipe anieleweshe.
Kwakuwa umelala,ama unaoupande uliouchagua tofauti na wakwake na upande wa eazalendo wa taifa hili.
 
Nashangaa SUA wanatoa postgraduate diploma ya education kwa Bsc animal science,Bsc aquaculture,Bsc animal nutrition,ni huzuni sana
 
Back
Top Bottom