Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,318
- 8,228
loading....................
Kweli Mods wana kazi kubwa sana. Eti huu nao Ni Uzi? Kaoshe vyombo mama huko umwandalie mmeo chakula.Naomba niweke tu wazi,
Mimi binafsi,
Sijapenda hicho wanachomfanyia Sabaya kwakweli imeniumiza sana.
Wewe ndio yule mchumbake ambaye amekulipia mahari tayari? Nione pm tafadhali.Naomba niweke tu wazi,
Mimi binafsi,
Sijapenda hicho wanachomfanyia Sabaya kwakweli imeniumiza sana.
Wewe ndo yule mchumba wake?Naomba niweke tu wazi,
Mimi binafsi,
Sijapenda hicho wanachomfanyia Sabaya kwakweli imeniumiza sana.
ila ngoja tuone hii movie inavyoendawamemgonga nyingi sana.
Ni sawa na kifungo cha maisha.
Nilikaa mahabusu siku 5 nikahisi nimekaa miaka 5
Pumbavu kabisa, wakati anaibia watu na kudhalilisha nyie si ndo mlikuwa mnafurahia!Naomba niweke tu wazi,
Mimi binafsi,
Sijapenda hicho wanachomfanyia Sabaya kwakweli imeniumiza sana.
Naomba niweke tu wazi,
Mimi binafsi,
Sijapenda hicho wanachomfanyia Sabaya kwakweli imeniumiza sana.
Naomba niweke tu wazi,
Mimi binafsi,
Sijapenda hicho wanachomfanyia Sabaya kwakweli imeniumiza sana.
Sheria ndio iko hivyo, angetaka kufungwa muda mfupi, alitakiwa afanye kosa lenye adhabu ndogo kwa mujibu wa sheria.wamemgonga nyingi sana.
Ni sawa na kifungo cha maisha.
Nilikaa mahabusu siku 5 nikahisi nimekaa miaka 5
Sawa sawa.Asante kwa taarifaNaomba niweke tu wazi,
Mimi binafsi,
Sijapenda hicho wanachomfanyia Sabaya kwakweli imeniumiza sana.
Is not a movie. It is not illusion.It is realityila ngoja tuone hii movie inavyoenda
Makampuni yako yanaendeleaje?Naomba niweke tu wazi,
Mimi binafsi,
Sijapenda hicho wanachomfanyia Sabaya kwakweli imeniumiza sana.
Kuna wakati sheria ni kipofu.Sheria ndio iko hivyo, angetaka kufungwa muda mfupi, alitakiwa afanye kosa lenye adhabu ndogo kwa mujibu wa sheria.
Wambie Wamtoe JELA uende WEWE uone kama SABAYA NAE HATAPENDA ULICHOFANYIWANaomba niweke tu wazi,
Mimi binafsi,
Sijapenda hicho wanachomfanyia Sabaya kwakweli imeniumiza sana.
Endelea kuumia...kutesa kwa zamuNaomba niweke tu wazi,
Mimi binafsi,
Sijapenda hicho wanachomfanyia Sabaya kwakweli imeniumiza sana.
Mambo ya kuanza kutukanana sii uungwana ndugu. Embu tumia lugha ya staha.Pumbavu kabisa, wakati anaibia watu na kudhalilisha nyie si ndo mlikuwa mnafurahia!
Au wewe ndo ulikuwa kimada wake, mnakula hela za dhuluma! Mfuate gereza la kisongo kama imekuuma sana