je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,881
- 3,619
Siku jamaa kajichanganya kaenda kwa jimama lake kamkuta mshikaji mwengine yupo sebuleni kakaa ila jamaa hakupanic. Jimama likamtengea chai sehemu yake na yule mchizi mwengine akatengewa chai sehemu nyingine safi.
Baada ya chai jimama likamtuma kijana akanunue mboga sokoni, jamaa kaenda sokon akarudi akatumwa tena hospital akachukue kitu gani sijui
Jamaa karudi hospital anapiga hodi ndani kimya, ikabidi aingie ndani anakuta viatu vya mchizi nje ya mlango kana kwamba wapo wote chumbani wanafanya yao.
Jamaa akaona hapo nimeachwa kiudhalilishaji sana na yote haya ni kwasababu Sina pesa. Basi jamaa kajiondokea kiunyonge mno.
Hii stories jamaa hakuniambia kwakuwa anaona noma, alienisimulia ni mtu ambae alitumiwa sms na yule jimama, alishawai niambia kuwa kijana wako anasema ugonjwa wake ni wanawake wakubwa wakubwa yeye ndio magoma yake
Note: Hili naona liwe funzo kwa vijana wanaopenda kulelewa na mi shangazi wakati hao mashangazi na wao Kuna watu wanawachuna.
Ule Uzi haukutakiwa kuwa kataa ndoa Bali uwe kataaa uzinifu maana unatia sonona na mawazo.
Baada ya chai jimama likamtuma kijana akanunue mboga sokoni, jamaa kaenda sokon akarudi akatumwa tena hospital akachukue kitu gani sijui
Jamaa karudi hospital anapiga hodi ndani kimya, ikabidi aingie ndani anakuta viatu vya mchizi nje ya mlango kana kwamba wapo wote chumbani wanafanya yao.
Jamaa akaona hapo nimeachwa kiudhalilishaji sana na yote haya ni kwasababu Sina pesa. Basi jamaa kajiondokea kiunyonge mno.
Hii stories jamaa hakuniambia kwakuwa anaona noma, alienisimulia ni mtu ambae alitumiwa sms na yule jimama, alishawai niambia kuwa kijana wako anasema ugonjwa wake ni wanawake wakubwa wakubwa yeye ndio magoma yake
Note: Hili naona liwe funzo kwa vijana wanaopenda kulelewa na mi shangazi wakati hao mashangazi na wao Kuna watu wanawachuna.
Ule Uzi haukutakiwa kuwa kataa ndoa Bali uwe kataaa uzinifu maana unatia sonona na mawazo.