Mapigo Saba
Senior Member
- Dec 11, 2014
- 129
- 28
Wadau jana nili-post hapa uzi wa kutafuta Mwenza, Mi ni mwanaume nina umri wa miaka 29 ni mfanyakazi, sasa nilisema nahitaji mke awe na umri wa kuanzia 20-27, na akiwa Mwalimu au Nurse ni vizuri but not limited, Na mimi ni mkirstu naishi kanda ya ziwa, Kwa Mwanamke aliyetayari please ni-PM au niandikie katika email darmwanza@gmail.com.
Note:- nahitaji serious relationship na process zingine zitafuata. Awe na tabia njema tu.
Note:- nahitaji serious relationship na process zingine zitafuata. Awe na tabia njema tu.