Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,884
mmh mkuu hapo kwenye red... mbona unaanza kunifanya nisite kufunguka kwa huyo mlimbwende. NIJITAYARISHE kwa lipi tena, jema au baya au changamoto? CC Preta
Umesahau kuwa kila penye nia pana hila........ujitayarishe nini.........labda kunywa mbege......na kesho ndio tunaizindua........leo tunaburudika na ulela........
Last edited by a moderator: