Sijaona sera ya CCM kwenye dawa za kulevya

Sijaona sera ya CCM kwenye dawa za kulevya

Walau wasingepitiwa na hili janga la taifa linaloangamiza kizazi cha kesho ambacho ndio nguvu kadi tegemewa ya taifa.

Je, ni kupitiwa ama kwakuwa wamehamanika?View attachment 3457124
Mkuu, hiki Kitengo na TAKUKURU kwa kipindi hiki wanakula Kodi zetu bure tu hakuna wanachokifanya. Wauza unga wengi ni Wafanyabiashara. Na wafanyabiashara na CCM ni Pete na kidole. Watawekaje issue hiyo kwenye Ilani yao, wakati wakijua hawatakuwa na kauli yoyote?


Tanzania yetu nzuri, Ina kila kitu kasoro viongozi bora.
 
Nilizoea kufikiri kuwa Farao ndiye mtawala katili mwenye roho mbaya utadhani ni makamu wa shetani. Kumbe dunia imebeba watawala katili kiasi kwamba Farao ni mgambo tu kwenye tawala zao.
 
Back
Top Bottom