Umeshawahi kuona kisogo chako kwa macho yako mwenyewe? Sio kwa kioo wala reflective nyingine yoyote?Kuna taarifa zimekuwa zikienea katika mitandao sasa ni muda kuwa Ikulu ya Tanzania inalindwa na Wanajeshi kutoka nchi jirani ya Rwanda na sasa zimeibuka taarifa kuwa Ukuta uliojengwa juzi juzi tu huko Mererani mkoani Manyara eti unalindwa na wanajeshi kutoka Rwanda pia.
Kiukweli nimekuwa najaribu kuangalia walinzi wetu kutoka vyombo tofauti ya ulinzi na usalama wanavyoanya kazi za ulinzi katika maeneo tofauti hapa nchini sijawahi kuona wanajeshi kutoka nchi jirani ukiondoa wale wanaokuja mafunzo ya muda mrefu na mfupi katika vyuo vyetu vya kijeshi kama kule TMA.
Sasa hawa wanaotoa taarifa za kudanganya umma wa watanzania wanazitoa wapi taarifa hizo?
Lengo lao ni nini kutoa kusambaza taarifa kama hizo hapa nchini?
Tanzania tunajivunia na kuyaamini majeshi yetu ya ulinzi na usalama katika kutekeleza kazi zao za ulinzi wa wananchi na maliza na kulinda mipaka ya nchi 24/7.
Walaaniwe wote wanaotaka kuvunja amani ya Tanzania kwa njia yoyote ile.
hivi ni nani anawaaminishaga mambo haya? sisi tuliopo huku ndani mbona hatuyaoni hayo mnayoyaongea huko mtaani?Hahahaha, mkuu mbona ni tayari inchi ishatekwa mda mrefu
Tangu enzi za nyerere huko iko chin ya ka inchi kadogo tunakokadharau
Yaaani hi inaitwa kukumbuka shuka kimekucha , too late ...!!
Kuna umuhimu wa kuwafanyia vetting wajinga kama wewe kabla hamjaingia ndani maana huo upuuzi aliyekutuma ameliwaWatu wa ndani ya nini kwani wewe si mtanzania...ndani ni wapi huko.Tunaingia Ikulu kila siku huko ndani ni wapi.Kama ni TISS huko nyumbani tunakoishi.Makambini huko ndiko tunakoshinda.Uraiani tuko usiku na mchana.Nani wa ndani huyo anayekuletea hizo habari kama si kuzua tu maneno muonekane mnacha maana mnachoongea na kusapotiwa na wengine wajinga wajinga kupata cha kuongea mitaani.Hakuna mwanajeshi mnyarwanda ndani ya majeshi yetu.Hilo halipo.
Ukiwa ccm huwezi kuwaona kama hata 1.5 trilion iliyopotea kwenye bajeti hamuioni sembuse hao walinzi kutoka rwanda?Tuletee uthibitisho mimi siwaoni naona watanzania tu toka mikoa yote ya nchi yetu. Hao wanyarwanda wako wapi.
Nilikuwa na hiyo idea ila nilishindwa kuipangilia namna ya kuiandika, sasa nikawa nawaza kwa hiyo hata tuliosoma nao katika shule na wazazi wao walikuwa wafanyakazi wa serikalini kumbe hawana haki hiyo, tuwafukuze au tuwafanyeje...umejibu swali langu....!!!!!nadhani wengi ambacho hamkijui ni kuwa nchi yetu ina watanzania wenye asili ya rwanda kama mnavyojua ile nchi ilipitia matatizo makubwa sana miaka ya tisini kwahiyo wapo wanafanya kazi na wengine kuendesha shughuli zao hapa nchini kama raia na wengine kama wakimbizi. suala la usalama wa taifa ni nyeti kuliko mnavyodhani .
Mbona vifupi havifanani na pua ndefu!?Umeenda kwenye Ukuta na magogoni ukawatazama?
Kama walisema aliyemtolea nape bastiola hawamjui watawatambuaje wanyarwanda wa magogoni
Hili jamaa zezeta kumbe? Basi sawa.....pumbavu kabisa! (Aaah! nawaza kwa sauti tu)Hakuna mtanzania asiyejulikana ndani ya nchi ila wewe na wenzako ndiyo mnakuza maneno hayo.Kila mtu anajulikana na kazi zake ndani ya nchi hii.
Wasemaaaa ........Wengine ni wajomba wa Jegern
Mungetupia na kapicha kidogo tuzioneLabda zile uniform wanazovaa pale Magogoni ndizo zinawachanganya wananchi maana hazifanani na zile wanazozijua za jeshi letu pendwa .