Sijaona Kada wa CCM mwenye uwezo wa kujibizana na Polepole

Sijaona Kada wa CCM mwenye uwezo wa kujibizana na Polepole

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
7,170
Reaction score
8,622
Hii ipo wazi kabisa. Hata Steven Wassira na ujanja wake wa kupangua hoja amekwama. Mfano Wassira anakiri kuwa ni kweli katiba ya JMT imekiukwa maana rais Samia ametumika zaidi ya miaka 3. Hili la utamaduni wa kumuachia aendelee ni kinyume na katiba ya JMT.

Mkuu wa mkoa wa Dar kuropoka kuwa faili la Slowslow analo Dc Magoti sio kujibu hoja za Polepole.

Rostam Azizi ndio kachemka kabisa. Kwa jinsi alivyo na Cv mbovu kwenye ufisadi uliofanyika hapa nchini. Hapaswi kumuota Polepole mtu wa siasa za kimaslahi.

Nani sasa anaweza kupangua haya madongo anayoporomoa huyu kijana?
 
Wassira, Makalla na wengineo Walikuwa wanajibu hoja za Heche kila alipokuwa anawabagaza mikutanoni
Sasa wamejikausha kimyaa utadhani hakuna mtu anawashambulia!
 
CCM wao hujibu hoja kwa kuteka na kuua mleta hoja, CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala.
 
Hii ipo wazi kabisa. Hata Steven Wassira na ujanja wake wa kupangua hoja amekwama. Mfano Wassira anakiri kuwa ni kweli katiba ya JMT imekiukwa maana rais Samia ametumika zaidi ya miaka 3. Hili la utamaduni wa kumuachia aendelee ni kinyume na katiba ya JMT.

Mkuu wa mkoa wa Dar kuropoka kuwa faili la Slowslow analo Dc Magoti sio kujibu hoja za Polepole.

Rostam Azizi ndio kachemka kabisa. Kwa jinsi alivyo na Cv mbovu kwenye ufisadi uliofanyika hapa nchini. Hapaswi kumuota Polepole mtu wa siasa za kimaslahi.

Nani sasa anaweza kupangua haya madongo anayoporomoa huyu kijana?

Hawawezi kujibizana na UKWELI.

Sana sana huko nyuma ya pazia wako busy wanamtengenezea kesi.
 
Hii ipo wazi kabisa. Hata Steven Wassira na ujanja wake wa kupangua hoja amekwama. Mfano Wassira anakiri kuwa ni kweli katiba ya JMT imekiukwa maana rais Samia ametumika zaidi ya miaka 3. Hili la utamaduni wa kumuachia aendelee ni kinyume na katiba ya JMT.

Mkuu wa mkoa wa Dar kuropoka kuwa faili la Slowslow analo Dc Magoti sio kujibu hoja za Polepole.

Rostam Azizi ndio kachemka kabisa. Kwa jinsi alivyo na Cv mbovu kwenye ufisadi uliofanyika hapa nchini. Hapaswi kumuota Polepole mtu wa siasa za kimaslahi.

Nani sasa anaweza kupangua haya madongo anayoporomoa huyu kijana?
CCM haina na haijawahi kuwa na mwanachama mpumbavu km Polepole, kwanza hakuwahi kuwa CCM limeokotwa tu yule mshamba wa kisukuma.
 
Watanzania wengi wana standards ndogo.

Halafu hawawezi abstract thinking hawawezi kutenganisha hoja na mtu.

Halafu hawana nuance ya kusema huyu nakubaliana na hoja yake hii, ila sikubaliani na hoja yake ile.

Halafu ni wavivu wapenda shortcuts za "all or nothing at all".

Kwa hiyo sishangai mtu akitoa kauli hiyo.
 
Hii ipo wazi kabisa. Hata Steven Wassira na ujanja wake wa kupangua hoja amekwama. Mfano Wassira anakiri kuwa ni kweli katiba ya JMT imekiukwa maana rais Samia ametumika zaidi ya miaka 3. Hili la utamaduni wa kumuachia aendelee ni kinyume na katiba ya JMT.

Mkuu wa mkoa wa Dar kuropoka kuwa faili la Slowslow analo Dc Magoti sio kujibu hoja za Polepole.

Rostam Azizi ndio kachemka kabisa. Kwa jinsi alivyo na Cv mbovu kwenye ufisadi uliofanyika hapa nchini. Hapaswi kumuota Polepole mtu wa siasa za kimaslahi.

Nani sasa anaweza kupangua haya madongo anayoporomoa huyu kijana?
Kwani anaongea nn Cha kujibiwa?!!! Huyo ni wa kupuuzwa tu.
 
Hii ipo wazi kabisa. Hata Steven Wassira na ujanja wake wa kupangua hoja amekwama. Mfano Wassira anakiri kuwa ni kweli katiba ya JMT imekiukwa maana rais Samia ametumika zaidi ya miaka 3. Hili la utamaduni wa kumuachia aendelee ni kinyume na katiba ya JMT.

Mkuu wa mkoa wa Dar kuropoka kuwa faili la Slowslow analo Dc Magoti sio kujibu hoja za Polepole.

Rostam Azizi ndio kachemka kabisa. Kwa jinsi alivyo na Cv mbovu kwenye ufisadi uliofanyika hapa nchini. Hapaswi kumuota Polepole mtu wa siasa za kimaslahi.

Nani sasa anaweza kupangua haya madongo anayoporomoa huyu kijana?
MUHUNI Rostam FISADI naona amejitokeza.
 
Back
Top Bottom