Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,418
- 79,667
Ni kweli unatakiwa uanze na urafiki sio mtu kusema anatafuta mume unakimbilia kwake.. hujui ni kwanini amekosa huko aliko, wengine mabomuiko hiviii.. mke au mume huwezi kumjua utampata lini au wapi. ni popote tu mtakapoanzia na mwishoe ndio mnajikuta mko pamoja na maisha yatakwenda kama mungu alivojalia.