Sijamwamini SLAA..

 
Wasiwasi wa wanachama wengi ni kuwa hata mwizi wa ngómbe huanza na kuku! Je CDM inapata ruzuku TShs ngapi? (tuchukulie milion 200). Hivi mtu mmoja kukopa 140 zinabaki shs ngapi hapo? Je taratibu za mwanachama kukopa zinaruhusu kukopa? Na kama zipo, je ni kiwango gani kinaruhusiwa kwa kila mwanachama? Na kama hakuna kanuni ya kujikopesha kiwango kama hicho cha fedha hata hiyo milion 20, je mtu huyo anaitwaje?

 
Dr.huwa hakurupuki. kama hujamwamini subiri punde utamwamini.
 
Nawashangaa wale wanaomtaka agombee uraisi, Mikshfa yote hiyo
Mzee wa kulamba ruzuku
Mzee wa kuchumbia ......ke. za watu.

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2

unataka sasa urais agombee lusinde au mwigulu?
 
Shardcole hivi mbona unapenda kudhalilisha wazazi wako bure jukwaani? Naamini walikukuza kimaadili tofauti na ya watoto wa mitaani.

same to you Freshthinking unawazalilisha wazazi wako kwani kuwatukana watu wazima kama Rais Slaa ni kosa la jinai.
 
Last edited by a moderator:
Basi kiamini kinyesi chako!

Matusi ya nini? Mbona huyu mungumtu wenu akiguswa, masikio yanawasimama ilhali yeye na mkewe aka mchumbake, ndo kwanza wanapigana chum ya pili? Acheni hizo. Hamumpi fursa ya kujitafakari na kujiangalia kwa macho sahihi kwa sababu ya sifa za kinafiki. Mtamfanya awe dikteta hadi kwa mjukuu wake Junior.
 
Dr.huwa hakurupuki. kama hujamwamini subiri punde utamwamini.

Hivi ndo kusema kuwa Dr. wa Divinity licha ya kukaa madarakani kupitia ubunge kwa miaka yote hiyo, hakuwahi kujenga hadi ajidhalilishe kwa mkopo ambao naamini kuwa hauna collatoral.
 
Remote ukinithibitishia wewe ni mwanachama wa Chadema mimi nitatupa kadi yangu sasa hivi.Siwezi kuwa kwenye chama ambacho wewe ni mwanachama wake mtu unayekesha kwenye mitandao kutukana na kukashifu viongozi wa Chadema.Cc Shardcole
kaka asante kwa dharau zako mimi ni mwanachama wa chadema na sio shabiki na ndio maana nahoji uhalali wa kukopeshwa kwake na pasipo shaka maelezo ya nimeyaelewa.By the way nami nasikitika kuwa na mwanachadema kama wewe ambae badala ya kutoa hoja ya kueleweka unaishia kukashifu wenzako
 
Last edited by a moderator:
Huko kunawaka moto na sasa kumeanza kwa Watoto tusubiri kwa Wazee maana mashabiki wamejaa ubishi na mitusi wakidhani Siasa ndio zinavyoenda
 
CAUGHT!
WITH HIS HAND IN THE COOKIE JAR!

Kachukua pipi moja au kumi is irrelevant.

KAIBA , FULL STOP!
 

nimehoji kwa minajiri hiyo nimeishiwa kukashifiwa na Molemo
 
Last edited by a moderator:

Mkuu siku nyingi imekanushwa lakini sasa ndio inajitokeza. CHADEMA si chama ni pressure group ya watu fulani ambao hawapendi kukosolewa kisiasa.

Kama CCM kuna matatizo basi CDM matatizo ni baba yao. Lisemwalo na lifanywalo na wakubwa, hata kama ni la jinai wapambe wao humu JF ni kuimba nyimbo za "zidumu fikra za katibu/mwenyekiti".

Sasa wanaumbuliwa na watoto wadogo kwa kukaa uchimbele ya kadamnasi, na hii ni baada ya wapambe kuwasifia nguo walizovaa- ngo za ufisadi ndani ya chama chao.
 
Anachofanya ni kuhakikisha anaishi maisha ya ubunge wake mana mshahara anapata wa mbunge kwa hiyo hata marupurupu lazima yaendane na yale ya ubunge.
 
Anachofanya ni kuhakikisha anaishi maisha ya ubunge wake mana mshahara anapata wa mbunge kwa hiyo hata marupurupu lazima yaendane na yale ya ubunge.

Kwa hiyo wabunge wakikopeshwa, naye anavuta. Kazi kweli kweli.
 
 

Kakopa milioni 140 za michango ya wanachama kama katibu! jee, akiupata Urais sijui atakopa ngapi toka hazina!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…