Sijamsikia kitambo Makamu wa Rais Philip Mpango. Je, yu wapi?

Sijamsikia kitambo Makamu wa Rais Philip Mpango. Je, yu wapi?

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
4,252
Reaction score
9,307
Wadau wa JF hamjamboni nyote?

Leo nimemkumbuka mno mtani sisi wa kanda ya ziwa na pia ni kiongozi wetu nambari 2 kitaifa kwani ni kitambo sijamsikia

Nauliza yu wapi mtani wetu huyu aliyechaguliwa kwa kura nyingi na Wabunge kuanzia March 31,2021?

IMG-20220910-WA0204.jpg
 
Wadau wa JF hamjamboni nyote?

Leo nimemkumbuka mno mtani sisi wa kanda ya ziwa na pia ni kiongozi wetu nambari 2 kitaifa kwani ni kitambo sijamsikia

Nauliza yu wapi mtani wetu huyu aliyechaguliwa kwa kura nyingi na Wabunge kuanzia March 31,2021?View attachment 2384812
Huyu bwana naona madhara ya COVID-19 yalimuathiri kwa kiasi kikubwa sana.

Inajulikana kwamba watu waliowahi kupata ugonjwa huo na wakapona, wengi wao huathirika afya zao za ubongo.

Sijawahi kumwona tena Dr Mpango wa zamani baada ya ugonjwa uliompata.

Sidhani kuwa tabia yake itakuwa imebadilishwa na cheo kipya alichopewa..

Nami nampa pole yake kama aliathirika kwa njia yoyote na ugonjwa huo.

Niseme wazi, huyu na wengine wachache niliwawekea matumaini ya kuiokoa nchi yetu kutokana na hali mbovu inayoikabili sasa kiuongozi.
 
Philip Mpango angeomba tu kupumzika, majuma kadhaa yalopita nilikutana nae kwenye mkutano mfani wa shirika flan pale New York hakika niliona wazi jamaa bado hayuko sawa kuanzia kuzungumza hadi kutembea.

Nafkiri Samia alimteua kwa makusudi akijua fika jamaa hawezi mfunika. Ningekua mimi ni yeye ningepumzika.
 
Huyu ni tumaini kwa watanzania. Ana akili nyingi na ni mnyenyekevu sana. Nawaombea yeye na Majaliwa maisha marefu katika siasa za nchi yetu.
 
Yupo ofisini akifanya uchambuzi na uchumnguzi wa namna wakazi wa kwnda ya ziwa wanavyopata kansa kwa kula samaki waliohifadhiwa kwa maji ya kuoshea maiti
 
Lakini hata anayoyasema kwenye mikutano hiyo ni kama yamesusiwa?
Hata hotuba yake ya UNGA kule New York, haijulikani alisema kitu gani; hadi kufunikwa na waziri wa mambo ya nje kwenye safari hiyo?

Dr Mpango ni kama mateka sasa.
Ndio cheo cha VP kilivyo.
 
Back
Top Bottom