Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 4,252
- 9,307
Wadau wa JF hamjamboni nyote?
Leo nimemkumbuka mno mtani sisi wa kanda ya ziwa na pia ni kiongozi wetu nambari 2 kitaifa kwani ni kitambo sijamsikia
Nauliza yu wapi mtani wetu huyu aliyechaguliwa kwa kura nyingi na Wabunge kuanzia March 31,2021?
Leo nimemkumbuka mno mtani sisi wa kanda ya ziwa na pia ni kiongozi wetu nambari 2 kitaifa kwani ni kitambo sijamsikia
Nauliza yu wapi mtani wetu huyu aliyechaguliwa kwa kura nyingi na Wabunge kuanzia March 31,2021?