Baada ya siku aliniletea hzo swaga et bora tuwe marafiki kama hutaki urafiki ni bora mmoja akubari kuumia na mm nikamwambia nipo tayari kuumia lakin sio kwa kuwa marafiki, akaniambia basi sawa tutabaki kuwa tunakutana kikazi tu, coz yeye anafanya kazi sehem nyingine na mm nyingine, basi mm sikufanikiwa kumtafuta tena nashangaa jioni ananipigia m@m@e sijui ananitafuta nn tu.sasa kama hataki kupigwa pipe, kuna haja gani ya kuendeleza huo urafiki wenu?
Nahc hivyo namm nmeanza kuhc hvyoGrau, Huyo dem ana ngoma trust me ..anachotaka kwako ni comfort ana stress japo atakua anajarbu kuficha asionekane nazo
Sent using Jamii Forums mobile app