Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Leo ikiwa ni siku ya mwisho ya kuhesabu watu, ni dhahiri kwamba zoezi hilo halita nihusisha.
Nimekuwa nawasubiri wanaohesabu watu kwa wiki nzima bila mafanikio na sasa naelekea kwenye shughuli za kulijenga taifa. Inamaana hata wakija nyumbani hawatakuta mtu.
Hii inamaana kwamba, wasipopita leo, hata majirani zangu pia hawatahesabiwa sababu mawakala hao hawajapita kabisa mtaani kwetu hadi sasa. Najiuliza nifanye nini ili nihesabiwe. Na kama nisipohesabiwa, nani awajibike?
Nimekuwa nawasubiri wanaohesabu watu kwa wiki nzima bila mafanikio na sasa naelekea kwenye shughuli za kulijenga taifa. Inamaana hata wakija nyumbani hawatakuta mtu.
Hii inamaana kwamba, wasipopita leo, hata majirani zangu pia hawatahesabiwa sababu mawakala hao hawajapita kabisa mtaani kwetu hadi sasa. Najiuliza nifanye nini ili nihesabiwe. Na kama nisipohesabiwa, nani awajibike?